Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 19:22
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 22 Basi akawatuma wawili kati ya wale waliomhudumia, Timotheo+ na Erasto,+ waende Makedonia lakini yeye akakaa kwa muda fulani katika mkoa wa Asia.

  • Waroma 16:21
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 21 Timotheo, mfanyakazi mwenzangu anawasalimu ninyi, na pia Lukio, Yasoni, na Sosipata, watu wangu wa ukoo.+

  • 1 Wakorintho 4:17
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 17 Ndiyo sababu ninamtuma Timotheo kwenu, kwa kuwa yeye ni mtoto wangu mpendwa na mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusha njia* zangu kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninavyofundisha kila mahali katika kila kutaniko.

  • 1 Wathesalonike 3:2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 2 tukamtuma Timotheo,+ ndugu yetu na mhudumu wa Mungu* katika habari njema kuhusu Kristo, ili awaimarishe* na kuwafariji kuhusiana na imani yenu,

  • 1 Timotheo 1:2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 2 kwa Timotheo,*+ mwanangu halisi+ katika imani:

      Na uwe na fadhili zisizostahiliwa, rehema, na amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki