Zaburi 16:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 10 Kwa maana hutaniacha* Kaburini.*+ Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.*+ Luka 24:45, 46 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 45 Ndipo akafungua akili zao ili waelewe kabisa maana ya Maandiko,+ 46 naye akawaambia: “Imeandikwa kwamba Kristo atateseka na kufufuliwa kutoka kwa wafu siku ya tatu,+
45 Ndipo akafungua akili zao ili waelewe kabisa maana ya Maandiko,+ 46 naye akawaambia: “Imeandikwa kwamba Kristo atateseka na kufufuliwa kutoka kwa wafu siku ya tatu,+