17 Basi ninasema na kushuhudia katika Bwana, kwamba msiishi tena kama watu wa mataifa wanavyoishi,+ katika ubatili wa akili zao.+ 18 Wako gizani kiakili na wametenganishwa na uzima ambao ni wa Mungu, kwa sababu ya ujinga ulio ndani yao na kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao.