-
Matendo 24:11, 12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Unaweza kujihakikishia kwamba hazijapita zaidi ya siku 12 tangu nilipopanda kwenda kuabudu huko Yerusalemu;+ 12 nao hawakunipata hekaluni nikibishana na mtu yeyote wala kuchochea kikundi chenye ghasia, katika masinagogi au kotekote jijini.
-
-
Matendo 25:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Lakini Paulo akajitetea hivi: “Sijatenda dhambi yoyote dhidi ya Sheria ya Wayahudi wala dhidi ya hekalu wala dhidi ya Kaisari.”+
-