Matendo 24:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Lakini ninakiri jambo hili kwako, kwamba kulingana na njia wanayoiita ‘madhehebu,’ hivyo ndivyo ninavyomtolea utumishi mtakatifu Mungu wa mababu zangu,+ kwa kuwa ninaamini mambo yote yaliyo katika Sheria na yaliyoandikwa katika Manabii.+
14 Lakini ninakiri jambo hili kwako, kwamba kulingana na njia wanayoiita ‘madhehebu,’ hivyo ndivyo ninavyomtolea utumishi mtakatifu Mungu wa mababu zangu,+ kwa kuwa ninaamini mambo yote yaliyo katika Sheria na yaliyoandikwa katika Manabii.+