Habakuki 2:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Mwangalie mtu mwenye kiburi;*Hana unyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu ataishi kwa uaminifu wake.*+ Wagalatia 3:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 Isitoshe, ni wazi kwamba kupitia sheria hakuna mtu atakayetangazwa kuwa mwadilifu mbele za Mungu,+ kwa maana “mwadilifu ataishi kupitia imani.”+ Waebrania 10:38 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
4 Mwangalie mtu mwenye kiburi;*Hana unyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu ataishi kwa uaminifu wake.*+
11 Isitoshe, ni wazi kwamba kupitia sheria hakuna mtu atakayetangazwa kuwa mwadilifu mbele za Mungu,+ kwa maana “mwadilifu ataishi kupitia imani.”+