1 Wakorintho 7:8, 9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Sasa ninawaambia waseja na wajane, ni bora wabaki kama mimi nilivyo.+ 9 Lakini ikiwa hawawezi kujizuia,* acheni wafunge ndoa, kwa maana ni bora kufunga ndoa kuliko kuwaka tamaa.+ 1 Timotheo 5:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Kwa hiyo, ninatamani wanawake wajane walio na umri mdogo waolewe,+ wazae watoto,+ wasimamie nyumba, ili wasimpe mpinzani sababu ya kukosoa.
8 Sasa ninawaambia waseja na wajane, ni bora wabaki kama mimi nilivyo.+ 9 Lakini ikiwa hawawezi kujizuia,* acheni wafunge ndoa, kwa maana ni bora kufunga ndoa kuliko kuwaka tamaa.+
14 Kwa hiyo, ninatamani wanawake wajane walio na umri mdogo waolewe,+ wazae watoto,+ wasimamie nyumba, ili wasimpe mpinzani sababu ya kukosoa.