Isaya 28:16 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 16 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Tazama, ninaweka jiwe lililojaribiwa liwe msingi katika Sayuni,+Jiwe la pembeni lenye thamani+ la msingi imara.+ Hakuna yeyote anayeonyesha imani atakayeshikwa na wasiwasi.+ Waroma 9:33 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 33 kama ilivyoandikwa: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe+ la kukwaza na mwamba wa kuangusha, lakini yeye anayemwamini hatakata tamaa.”+
16 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Tazama, ninaweka jiwe lililojaribiwa liwe msingi katika Sayuni,+Jiwe la pembeni lenye thamani+ la msingi imara.+ Hakuna yeyote anayeonyesha imani atakayeshikwa na wasiwasi.+
33 kama ilivyoandikwa: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe+ la kukwaza na mwamba wa kuangusha, lakini yeye anayemwamini hatakata tamaa.”+