Yohana 1:11, 12 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 Alikuja nyumbani kwake mwenyewe, lakini watu wake mwenyewe hawakumkubali. 12 Hata hivyo, wale wote waliompokea, aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa na imani* katika jina lake.+
11 Alikuja nyumbani kwake mwenyewe, lakini watu wake mwenyewe hawakumkubali. 12 Hata hivyo, wale wote waliompokea, aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa na imani* katika jina lake.+