23 Na ikiwa hilo lilifanywa ili ajulishe utajiri wa utukufu wake kwa vyombo vya rehema,+ alivyotayarisha awali kwa ajili ya utukufu, 24 yaani, sisi, ambao alituita si kutoka kati ya Wayahudi peke yao bali pia kutoka kati ya mataifa,+ kuna ubaya gani?