Matendo 12:17 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 17 Lakini akawapungia mkono wanyamaze na kuwaambia kirefu jinsi Yehova* alivyomtoa gerezani, naye akasema: “Waambieni Yakobo+ na akina ndugu mambo haya.” Ndipo akatoka, akasafiri kwenda mahali pengine.
17 Lakini akawapungia mkono wanyamaze na kuwaambia kirefu jinsi Yehova* alivyomtoa gerezani, naye akasema: “Waambieni Yakobo+ na akina ndugu mambo haya.” Ndipo akatoka, akasafiri kwenda mahali pengine.