10 na ijulikane kwenu nyote na kwa watu wote wa Israeli kwamba katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ ambaye mlimuua kwenye mti+ lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu,+ kupitia kwake mtu huyu anasimama hapa mbele yenu akiwa ameponywa.
30 Lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu,+31 na kwa siku nyingi akaonekana na wale waliokuwa wameenda naye kutoka Galilaya hadi Yerusalemu. Sasa hao ndio mashahidi wake kwa watu.+