Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 2:24
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kumfungua kutoka katika maumivu makali ya* kifo, kwa sababu haingewezekana kifo kiendelee kumshika.+

  • Matendo 4:10
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 10 na ijulikane kwenu nyote na kwa watu wote wa Israeli kwamba katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ ambaye mlimuua kwenye mti+ lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu,+ kupitia kwake mtu huyu anasimama hapa mbele yenu akiwa ameponywa.

  • Matendo 13:30, 31
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 30 Lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu,+ 31 na kwa siku nyingi akaonekana na wale waliokuwa wameenda naye kutoka Galilaya hadi Yerusalemu. Sasa hao ndio mashahidi wake kwa watu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki