Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 8:36
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 36 Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa; tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.”+

  • 2 Wakorintho 11:23-27
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 23 Je, wao ni wahudumu wa Kristo? Ninajibu kama mwendawazimu, mimi ni mhudumu kwa njia kubwa hata zaidi: Nimefanya kazi nyingi zaidi,+ nimefungwa gerezani mara nyingi zaidi,+ nimepigwa mara nyingi sana, na kukaribia kufa mara nyingi.+ 24 Mara tano nilipigwa na Wayahudi viboko 40 kasoro kimoja,+ 25 mara tatu nilipigwa kwa fimbo,+ mara moja nilipigwa mawe,+ mara tatu nilivunjikiwa na meli,+ usiku mmoja na mchana mmoja nimekaa baharini; 26 mara nyingi katika safari, hatari za kutokana na mito, hatari za kutokana na wezi, hatari za kutokana na watu wangu mwenyewe,+ hatari za kutokana na mataifa,+ hatari jijini,+ hatari nyikani, hatari baharini, hatari kati ya ndugu wa uwongo, 27 kwa kazi ngumu na yenye kutaabisha, mara nyingi kukosa usingizi usiku,+ njaa na kiu,+ kukosa chakula mara nyingi,+ na pia baridi na kukosa mavazi.*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki