25 Nilikuja kuwa mhudumu wa kutaniko hili kupatana na usimamizi+ kutoka kwa Mungu niliopewa kwa ajili yenu ili kulihubiri neno la Mungu kwa ukamili, 26 siri takatifu+ iliyokuwa imefichwa tangu mifumo ya mambo iliyopita+ na tangu vizazi vilivyopita. Lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu wake,+