-
2 Wakorintho 11:8, 9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Niliyanyang’anya* makutaniko mengine kwa kupokea vitu* kutoka kwao ili niwahudumie ninyi.+ 9 Na bado, nilipokuwa pamoja nanyi na nikapatwa na uhitaji, sikuwa mzigo kwa mtu yeyote, kwa maana ndugu waliotoka Makedonia walinipatia mahitaji yangu kwa wingi.+ Ndiyo, katika kila njia sikutaka kuwa mzigo kwenu nami nitaendelea kufanya hivyo.+
-