Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 15:5, 6
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 5 Basi Mungu anayetoa uvumilivu na faraja na awawezeshe ninyi miongoni mwenu wenyewe kuwa na mtazamo uleule wa akili ambao Kristo Yesu alikuwa nao, 6 ili kwa umoja+ na kwa sauti moja* mumtukuze Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo.

  • 1 Wakorintho 1:10
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 10 Sasa ninawahimiza ninyi, akina ndugu, kupitia jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba nyote mseme kwa upatano, na kwamba kusiwe na migawanyiko kati yenu,+ bali kwamba muunganishwe kabisa katika akili ileile na njia ileile ya kufikiri.+

  • 2 Wakorintho 13:11
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 11 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kushangilia, kurekebishwa upya, kufarijiwa,+ kufikiri kwa upatano,+ kuishi kwa amani;+ na Mungu wa upendo na amani+ atakuwa pamoja nanyi.

  • Wafilipi 2:2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 2 fanyeni shangwe yangu ijae kwa kuwa na akili ileile na kuwa na upendo uleule, mkiwa mmeunganishwa kabisa,* mkiwa na wazo moja akilini.+

  • 1 Petro 3:8
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki