-
2 Timotheo 2:16-18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 Lakini kataa maneno matupu ambayo huchafua mambo matakatifu,+ kwa maana yataongoza kwenye kutomwogopa Mungu zaidi na zaidi, 17 na neno lao litaenea kama kidonda kinachooza. Himenayo na Fileto ni kati yao.+ 18 Watu hao wamegeuka kutoka kwenye kweli, wakisema kwamba tayari ufufuo umetukia,+ nao wanapindua imani ya wengine.
-