-
2 Wakorintho 1:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Basi tukikabili majaribu,* ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu; na tukifarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu inayotenda ili kuwasaidia mvumilie mateso yaleyale ambayo sisi pia tunateseka.
-
-
Waefeso 3:13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 Basi ninawaomba msife moyo kwa sababu ya dhiki zangu kwa ajili yenu, kwa maana zinamaanisha utukufu kwenu.+
-