Zaburi 58:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 Kisha watu watasema: “Kwa hakika kuna thawabu kwa ajili ya mwadilifu.+ Kwa hakika kuna Mungu anayehukumu duniani.”+ Sefania 2:3 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 3 Mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole* wa dunia,Mnaoshika amri zake za uadilifu.* Utafuteni uadilifu, utafuteni upole.* Huenda* mtafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+ Mathayo 5:12 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 12 Furahini na kushangilia sana,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwapo kabla yenu.+ Mathayo 6:33 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
11 Kisha watu watasema: “Kwa hakika kuna thawabu kwa ajili ya mwadilifu.+ Kwa hakika kuna Mungu anayehukumu duniani.”+
3 Mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole* wa dunia,Mnaoshika amri zake za uadilifu.* Utafuteni uadilifu, utafuteni upole.* Huenda* mtafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+
12 Furahini na kushangilia sana,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwapo kabla yenu.+