9 Basi, je, furaha hiyo huja tu kwa watu waliotahiriwa au pia kwa watu wasiotahiriwa?+ Kwa maana tunasema: “Imani ya Abrahamu ilihesabiwa kwake kuwa uadilifu.”+
11 Naye alipokea ishara+—yaani, kutahiriwa—kuwa muhuri wa* uadilifu kwa imani aliyokuwa nayo alipokuwa katika hali yake ya kutotahiriwa, ili awe baba ya wale wote walio na imani+ ingawa hawajatahiriwa, kusudi wahesabiwe kuwa waadilifu;