Waebrania 11:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 10 Kwa maana alikuwa akingojea jiji lililo na misingi ya kweli, ambalo mbuni* na mjenzi wake ni Mungu.+ Waebrania 12:22 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni,+ jiji la Mungu aliye hai, yaani, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika
10 Kwa maana alikuwa akingojea jiji lililo na misingi ya kweli, ambalo mbuni* na mjenzi wake ni Mungu.+
22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni,+ jiji la Mungu aliye hai, yaani, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika