Waamuzi 6:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa wa Yoashi Mwabiezeri uliokuwa Ofra.+ Gideoni mwanawe+ alikuwa akipura ngano katika shinikizo la divai ili Wamidiani wasiione.
11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa wa Yoashi Mwabiezeri uliokuwa Ofra.+ Gideoni mwanawe+ alikuwa akipura ngano katika shinikizo la divai ili Wamidiani wasiione.