Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 3:23-25
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 23 Lakini wanaume hao watatu, Shadraki, Meshaki, na Abednego, wakaanguka ndani ya tanuru hilo lenye moto mkali wakiwa wamefungwa.

      24 Ndipo Mfalme Nebukadneza akaogopa, akainuka haraka na kuwauliza maofisa wake wakuu: “Je, hatukuwafunga wanaume watatu na kuwatupa ndani ya moto?” Wakamjibu mfalme: “Naam, Ee mfalme.” 25 Mfalme akasema: “Tazama! Naona wanaume wanne wakitembeatembea katikati ya moto wakiwa huru, nao hawajapatwa na madhara, na yule wa nne anaonekana kama mwana wa miungu.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki