Yeremia 31:35 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 35 Yehova,Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,Sheria za* mwezi na nyota ili ziangaze usiku,Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+ 2 Wakorintho 4:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi wenye utukufu kumhusu Mungu kupitia uso wa Kristo.
35 Yehova,Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,Sheria za* mwezi na nyota ili ziangaze usiku,Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+
6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi wenye utukufu kumhusu Mungu kupitia uso wa Kristo.