Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:35
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 35 Yehova,

      Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,

      Sheria za* mwezi na nyota ili ziangaze usiku,

      Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,

      Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+

  • 2 Wakorintho 4:6
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi wenye utukufu kumhusu Mungu kupitia uso wa Kristo.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki