Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 1:12, 13
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Hata hivyo, wale wote waliompokea, aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa na imani* katika jina lake.+ 13 Nao hawakuzaliwa kutokana na damu, wala mapenzi ya mwili au mapenzi ya mwanadamu, bali kutokana na Mungu.+

  • Waroma 8:28
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 28 Tunajua kwamba Mungu huzifanya kazi zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+

  • Waefeso 1:13, 14
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 13 Lakini ninyi pia mlimtumaini baada ya kulisikia neno la kweli, habari njema kuhusu wokovu wenu. Baada ya kuamini, mlitiwa muhuri+ kupitia kwake kwa roho takatifu iliyoahidiwa, 14 ambayo ni rehani ya mapema* ya urithi wetu,+ kwa kusudi la kuachilia huru mali ya Mungu mwenyewe+ kupitia fidia,+ kwa sifa yake yenye utukufu.

  • 2 Wathesalonike 2:13
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 13 Hata hivyo, tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu akina ndugu mnaopendwa na Yehova,* kwa sababu tangu mwanzo Mungu aliwachagua+ ili mwokolewe kwa kuwatakasa+ kupitia roho yake na imani yenu katika kweli.

  • 1 Petro 1:23
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu* yenye kuharibika, bali kupitia ile isiyoharibika,+ kupitia neno la Mungu aliye hai na anayedumu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki