Kumbukumbu la Torati 14:29 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 29 Kisha Mlawi, ambaye hana fungu wala urithi kati yenu, mkaaji mgeni, yatima, na mjane aliye ndani ya majiji yenu atakuja kula na kushiba,+ ili Yehova Mungu wenu awabariki katika mambo yote mnayofanya.+ Kumbukumbu la Torati 27:19 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 19 “‘Amelaaniwa mtu anayepotosha haki+ ya mkaaji mgeni, yatima, au mjane.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’) Zaburi 68:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 Baba wa mayatima na mlinzi* wa wajane+Ni Mungu katika makao yake matakatifu.+
29 Kisha Mlawi, ambaye hana fungu wala urithi kati yenu, mkaaji mgeni, yatima, na mjane aliye ndani ya majiji yenu atakuja kula na kushiba,+ ili Yehova Mungu wenu awabariki katika mambo yote mnayofanya.+
19 “‘Amelaaniwa mtu anayepotosha haki+ ya mkaaji mgeni, yatima, au mjane.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)