Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 28:18
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1 Wakorintho 15:25
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 25 Kwa maana lazima atawale akiwa mfalme mpaka Mungu atakapoweka maadui wote chini ya miguu yake.+

  • Waefeso 1:20, 21
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 20 ambao aliutumia kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu, 21 juu kuliko kila serikali na mamlaka na nguvu na utawala na kila jina linalotajwa,+ si katika mfumo huu wa mambo* tu, bali pia katika ule unaokuja.

  • Wafilipi 2:9, 10
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 9 Kwa sababu hiyo, Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu kuliko kila jina lingine,+ 10 ili katika jina la Yesu kila goti lipigwe—la wale walio mbinguni na wale walio duniani na wale walio chini ya ardhi+—

  • Waebrania 1:6
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 6 Lakini anapomleta tena Mzaliwa wake wa kwanza+ katika dunia inayokaliwa, anasema: “Malaika wote wa Mungu na wamsujudie.”*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki