Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 40:11
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 11 Atalitunza* kundi lake kama mchungaji.+

      Atawakusanya pamoja wanakondoo kwa mkono wake,

      Naye atawabeba kwenye kifua chake.

      Atawaongoza kwa upole wale wanaonyonyesha watoto wao.+

  • Yohana 21:16
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 16 Akamuuliza mara ya pili: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda?” Petro akamjibu: “Ndiyo, Bwana, unajua ninakupenda.” Yesu akamwambia: “Chunga kondoo wangu wadogo.”+

  • Matendo 20:28
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 28 Jiangalieni wenyewe+ na kundi lote, ambalo kati yake roho takatifu imewaweka ninyi rasmi muwe waangalizi,+ mlichunge kutaniko la Mungu,+ ambalo alilinunua kwa damu ya Mwana wake mwenyewe.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki