Methali 3:34 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 34 Kwa maana yeye huwadhihaki wale wanaodhihaki,+Lakini huwaonyesha kibali wapole.+ Isaya 57:15 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Yakobo 4:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo Yeye hutoa ni kubwa zaidi. Kwa hiyo, linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+
6 Hata hivyo, fadhili zisizostahiliwa ambazo Yeye hutoa ni kubwa zaidi. Kwa hiyo, linasema: “Mungu huwapinga wenye majivuno,+ lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.”+