24 Kwa maana Kristo wengi wa uwongo na manabii wa uwongo+ watatokea na kufanya ishara kubwa na maajabu ili kuwapotosha,+ ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.
4Hata hivyo, neno lililoongozwa na roho linasema* wazi kwamba wakati ujao watu fulani wataiacha imani, wakisikiliza maneno ya uwongo yaliyoongozwa na roho waovu*+ na mafundisho ya roho waovu,