23 Kila mtu anayemkana Mwana hana Baba pia.+ Bali yeyote anayemkiri Mwana+ ana Baba pia.+ 24 Lakini mambo mliyosikia tangu mwanzo yanapaswa kukaa ndani yenu.+ Ikiwa mambo mliyosikia tangu mwanzo yanakaa ndani yenu, ninyi pia mtakaa katika muungano na Mwana na katika muungano na Baba.