Waefeso 6:16 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 16 Mbali na mambo hayo, chukueni ngao kubwa ya imani,+ ambayo kwa kuitumia mtaizima mishale yote inayowaka moto* ya yule mwovu.+ 2 Timotheo 4:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Nimepigana pigano zuri,+ nimekimbia mbio mpaka mwisho,+ nimeishika imani. Ufunuo 12:10, 11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
16 Mbali na mambo hayo, chukueni ngao kubwa ya imani,+ ambayo kwa kuitumia mtaizima mishale yote inayowaka moto* ya yule mwovu.+