Yohana 1:12, 13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 12 Hata hivyo, wale wote waliompokea, aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa na imani* katika jina lake.+ 13 Nao hawakuzaliwa kutokana na damu, wala mapenzi ya mwili au mapenzi ya mwanadamu, bali kutokana na Mungu.+
12 Hata hivyo, wale wote waliompokea, aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa na imani* katika jina lake.+ 13 Nao hawakuzaliwa kutokana na damu, wala mapenzi ya mwili au mapenzi ya mwanadamu, bali kutokana na Mungu.+