Kutoka 30:18 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 18 “Tengeneza beseni la kunawia la shaba pamoja na kinara chake;+ kisha uliweke kati ya hema la mkutano na madhabahu na utie maji ndani yake.+ 1 Wafalme 7:23 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 23 Kisha akatengeneza Bahari* kwa madini yaliyoyeyushwa.+ Ilikuwa ya mviringo, yenye upana wa mikono 10 ukingo hadi ukingo na kimo cha mikono 5, na ingeweza kuzungukwa na kamba yenye urefu wa mikono 30.*+
18 “Tengeneza beseni la kunawia la shaba pamoja na kinara chake;+ kisha uliweke kati ya hema la mkutano na madhabahu na utie maji ndani yake.+
23 Kisha akatengeneza Bahari* kwa madini yaliyoyeyushwa.+ Ilikuwa ya mviringo, yenye upana wa mikono 10 ukingo hadi ukingo na kimo cha mikono 5, na ingeweza kuzungukwa na kamba yenye urefu wa mikono 30.*+