-
Ufunuo 1:20Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
20 Kuhusu siri takatifu ya zile nyota saba ulizoona kwenye mkono wangu wa kuume, na ya vile vinara saba vya taa vya dhahabu: Zile nyota saba zinamaanisha wale malaika wa yale makutaniko saba, na vile vinara saba vya taa vinamaanisha yale makutaniko saba.+
-