26 “Yeyote akija kwangu naye hamchukii* baba yake na mama yake na mke wake na watoto wake na ndugu na dada zake, ndiyo, hata uhai wake*+ mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.+
24 Hata hivyo, sioni uhai wangu* kuwa muhimu kwangu,* mradi tu nimalize mwendo wangu+ na huduma niliyopokea kutoka kwa Bwana Yesu, kutoa ushahidi kamili kuhusu habari njema ya fadhili zisizostahiliwa za Mungu.