-
Ufunuo 22:8, 9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Basi mimi, Yohana, ndiye niliyekuwa nikisikia na kuona mambo haya. Niliposikia na kuyaona, nikaanguka chini kuabudu miguuni pa yule malaika aliyekuwa akinionyesha mambo haya. 9 Lakini yeye akaniambia: “Uwe mwangalifu! Usifanye hivyo! Mimi ni mtumwa mwenzako tu na wa ndugu zako manabii na wa wale wanaoshika maneno ya kitabu hiki cha kukunjwa. Mwabudu Mungu.”+
-