Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 45
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Ndoa ya mfalme mtiwa-mafuta

        • Maneno yenye fadhili (2)

        • “Mungu ni kiti chako cha ufalme milele” (6)

        • Mfalme anautamani urembo wa bibi harusi (11)

        • Wana watakuwa wakuu katika dunia yote (16)

Zaburi 45:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +2Nya 20:19

Zaburi 45:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Kazi zangu zinamhusu.”

  • *

    Au “mwandishi.”

Marejeo

  • +Zb 2:6
  • +Isa 8:1
  • +2Sa 23:2; Ezr 7:6

Zaburi 45:2

Marejeo

  • +Yoh 7:46
  • +Zb 72:17

Zaburi 45:3

Marejeo

  • +Ufu 1:16; 19:15
  • +Isa 9:6
  • +Ebr 1:3

Zaburi 45:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ufanikiwe.”

  • *

    Tnn., “utakufundisha.”

Marejeo

  • +Ufu 6:2
  • +Ufu 19:11

Zaburi 45:5

Marejeo

  • +Zb 2:9; 2Th 1:7, 8
  • +Ufu 17:14; 19:19

Zaburi 45:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “haki.”

Marejeo

  • +Zb 89:29, 36
  • +Isa 11:4; Yer 33:15; Ebr 1:8, 9

Zaburi 45:7

Marejeo

  • +Ebr 7:26
  • +Mt 7:23
  • +Isa 61:1; Mdo 10:38
  • +Zb 21:6

Zaburi 45:9

Marejeo

  • +Isa 13:12

Zaburi 45:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watautuliza uso wako.”

Zaburi 45:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ndani.”

  • *

    Tnn., “yametiwa mapambo ya.”

Zaburi 45:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “kwa majoho yaliyotariziwa.”

Zaburi 45:16

Marejeo

  • +Isa 32:1

Zaburi 45:17

Marejeo

  • +Zb 72:17

Jumla

Zab. 45:utangulizi2Nya 20:19
Zab. 45:1Zb 2:6
Zab. 45:1Isa 8:1
Zab. 45:12Sa 23:2; Ezr 7:6
Zab. 45:2Yoh 7:46
Zab. 45:2Zb 72:17
Zab. 45:3Ufu 1:16; 19:15
Zab. 45:3Isa 9:6
Zab. 45:3Ebr 1:3
Zab. 45:4Ufu 6:2
Zab. 45:4Ufu 19:11
Zab. 45:5Zb 2:9; 2Th 1:7, 8
Zab. 45:5Ufu 17:14; 19:19
Zab. 45:6Zb 89:29, 36
Zab. 45:6Isa 11:4; Yer 33:15; Ebr 1:8, 9
Zab. 45:7Ebr 7:26
Zab. 45:7Mt 7:23
Zab. 45:7Isa 61:1; Mdo 10:38
Zab. 45:7Zb 21:6
Zab. 45:9Isa 13:12
Zab. 45:16Isa 32:1
Zab. 45:17Zb 72:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 45:1-17

Zaburi

Kwa kiongozi; umepatanishwa na mtindo wa “Mayungiyungi.” Wa wana wa Kora.+ Maskili.* Wimbo wa upendo.

45 Moyo wangu umesisimuliwa na jambo jema.

Ninasema: “Wimbo wangu unamhusu* mfalme.”+

Ulimi wangu na uwe kalamu+ ya mnakili* stadi.+

 2 Una sura nzuri kuliko wanadamu wote.

Maneno yenye fadhili hutiririka kutoka katika midomo yako.+

Ndiyo sababu Mungu amekubariki milele.+

 3 Jifunge upanga wako+ pajani, Ee mwenye nguvu,+

Katika heshima na fahari yako.+

 4 Na katika fahari yako endelea mpaka ushinde;*+

Panda utetee kweli na unyenyekevu na uadilifu,+

Na mkono wako wa kulia utatimiza* mambo yanayoogopesha.

 5 Mishale yako ni mikali, inaangusha mataifa mbele yako;+

Inachoma mioyo ya maadui wa mfalme.+

 6 Mungu ni kiti chako cha ufalme milele na milele;+

Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*+

 7 Ulipenda uadilifu+ na kuchukia uovu.+

Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia+ kuliko wenzako.

 8 Mavazi yako yote yametiwa manukato ya manemane na udi na kida;

Kutoka katika jumba tukufu la mfalme lililotengenezwa kwa pembe za tembo, vinanda vinakufanya ushangilie.

 9 Mabinti wa wafalme ni miongoni mwa wanawake wako wanaoheshimiwa.

Malkia amesimama mkono wako wa kulia, akiwa amepambwa kwa dhahabu ya Ofiri.+

10 Sikiliza, Ee binti, sikiliza kwa makini na utege sikio lako;

Wasahau watu wako na nyumba ya baba yako.

11 Naye mfalme atautamani urembo wako,

Kwa maana yeye ni bwana wako,

Kwa hiyo mwinamie.

12 Binti ya Tiro ataleta zawadi;

Watu matajiri zaidi watatafuta kibali chako.*

13 Katika jumba la mfalme,* binti ya mfalme ana utukufu mwingi ajabu;

Mavazi yake yamepambwa kwa* dhahabu.

14 Atapelekwa kwa mfalme akiwa na mavazi yaliyofumwa kwa ustadi mkubwa.*

Mabikira wenzake wanaomfuata wanaletwa ndani mbele ya mfalme.

15 Wataletwa kwa furaha na shangwe;

Wataingia katika jumba la mfalme.

16 Wana wako watachukua mahali pa mababu zako.

Utawaweka kuwa wakuu katika dunia yote.+

17 Nitalitangaza jina lako katika vizazi vyote vijavyo.+

Ndiyo sababu mataifa yatakusifu milele na milele.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki