Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mwanzo—Yaliyomo

      • Abrahamu aoa tena (1-6)

      • Kifo cha Abrahamu (7-11)

      • Wana wa Ishmaeli (12-18)

      • Yakobo na Esau wazaliwa (19-26)

      • Esau auza haki yake ya mzaliwa wa kwanza (27-34)

Mwanzo 25:2

Marejeo

  • +Mwa 37:28; Kut 2:15; Hes 31:2; Amu 6:2
  • +1Nya 1:32, 33

Mwanzo 25:5

Marejeo

  • +Mwa 24:36

Mwanzo 25:6

Marejeo

  • +Mwa 21:14

Mwanzo 25:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akakusanywa kwa watu wake.” Huu ni msemo wa kishairi unaorejelea kifo.

Mwanzo 25:9

Marejeo

  • +Mwa 23:8, 9; 49:29, 30

Mwanzo 25:10

Marejeo

  • +Mwa 23:2, 19

Mwanzo 25:11

Marejeo

  • +Mwa 17:19; 26:12-14
  • +Mwa 16:14

Mwanzo 25:12

Marejeo

  • +Mwa 16:10, 11
  • +Gal 4:24

Mwanzo 25:13

Marejeo

  • +Mwa 36:2, 3; Isa 60:7
  • +Zb 120:5; Yer 49:28; Eze 27:21
  • +1Nya 1:29-31

Mwanzo 25:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kambi zao zilizozingirwa na kuta.”

Marejeo

  • +Mwa 17:20

Mwanzo 25:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akakusanywa kwa watu wake.” Huu ni msemo wa kishairi unaorejelea kifo.

Mwanzo 25:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Aliishi kwa uhasama na ndugu zake wote.”

Marejeo

  • +1Sa 15:7
  • +Mwa 16:7, 8
  • +Mwa 16:11, 12

Mwanzo 25:19

Marejeo

  • +Mwa 22:2; Mt 1:1, 2

Mwanzo 25:20

Marejeo

  • +Mwa 22:23

Mwanzo 25:22

Marejeo

  • +Ro 9:10

Mwanzo 25:23

Marejeo

  • +Zb 139:15
  • +Mwa 36:31; Hes 20:14
  • +Mwa 27:29, 30; Kum 2:4
  • +2Sa 8:14; Mal 1:2, 3; Ro 9:10-13

Mwanzo 25:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mwenye Nywele Nyingi.”

Marejeo

  • +Mwa 27:11
  • +Mwa 27:32; 36:9; Mal 1:3

Mwanzo 25:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Anayeshika Kisigino; Anayechukua Nafasi ya Mwingine.”

Marejeo

  • +Ho. 12:3
  • +Mwa 27:36

Mwanzo 25:27

Marejeo

  • +Mwa 27:3, 5
  • +Ebr 11:9

Mwanzo 25:28

Marejeo

  • +Mwa 27:6, 7, 46

Mwanzo 25:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “chekundu, hiki chekundu.”

  • *

    Au “nina njaa kali.”

  • *

    Maana yake “Mwekundu.”

Marejeo

  • +Mwa 36:1

Mwanzo 25:31

Marejeo

  • +Kum 21:16, 17

Mwanzo 25:33

Marejeo

  • +Ebr 12:16

Jumla

Mwa. 25:2Mwa 37:28; Kut 2:15; Hes 31:2; Amu 6:2
Mwa. 25:21Nya 1:32, 33
Mwa. 25:5Mwa 24:36
Mwa. 25:6Mwa 21:14
Mwa. 25:9Mwa 23:8, 9; 49:29, 30
Mwa. 25:10Mwa 23:2, 19
Mwa. 25:11Mwa 17:19; 26:12-14
Mwa. 25:11Mwa 16:14
Mwa. 25:12Mwa 16:10, 11
Mwa. 25:12Gal 4:24
Mwa. 25:13Mwa 36:2, 3; Isa 60:7
Mwa. 25:13Zb 120:5; Yer 49:28; Eze 27:21
Mwa. 25:131Nya 1:29-31
Mwa. 25:16Mwa 17:20
Mwa. 25:181Sa 15:7
Mwa. 25:18Mwa 16:7, 8
Mwa. 25:18Mwa 16:11, 12
Mwa. 25:19Mwa 22:2; Mt 1:1, 2
Mwa. 25:20Mwa 22:23
Mwa. 25:22Ro 9:10
Mwa. 25:23Zb 139:15
Mwa. 25:23Mwa 36:31; Hes 20:14
Mwa. 25:23Mwa 27:29, 30; Kum 2:4
Mwa. 25:232Sa 8:14; Mal 1:2, 3; Ro 9:10-13
Mwa. 25:25Mwa 27:11
Mwa. 25:25Mwa 27:32; 36:9; Mal 1:3
Mwa. 25:26Ho. 12:3
Mwa. 25:26Mwa 27:36
Mwa. 25:27Mwa 27:3, 5
Mwa. 25:27Ebr 11:9
Mwa. 25:28Mwa 27:6, 7, 46
Mwa. 25:30Mwa 36:1
Mwa. 25:31Kum 21:16, 17
Mwa. 25:33Ebr 12:16
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mwanzo 25:1-34

Mwanzo

25 Kisha Abrahamu akaoa mke mwingine, naye aliitwa Ketura. 2 Baada ya muda Ketura akamzalia Abrahamu watoto hawa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani,+ Ishbaki, na Shua.+

3 Yokshani akamzaa Sheba na Dedani.

Wana wa Dedani walikuwa Ashurimu, Letushimu, na Leumimu.

4 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa.

Hao wote walikuwa wana wa Ketura.

5 Baadaye Abrahamu alimpa Isaka+ kila kitu alichokuwa nacho, 6 lakini Abrahamu akawapa zawadi wana wa masuria wake. Alipokuwa bado hai, akawaagiza waende upande wa mashariki, mbali na Isaka mwanawe,+ katika nchi ya Mashariki. 7 Abrahamu aliishi miaka 175. 8 Kisha Abrahamu akakata pumzi na kufa baada ya kuishi maisha marefu, akiwa amezeeka na kuridhika, naye akazikwa pamoja na watu wake.* 9 Isaka na Ishmaeli wanawe wakamzika katika pango la Makpela kwenye shamba la Efroni mwana wa Zohari Mhiti, lililo mbele ya Mamre,+ 10 shamba ambalo Abrahamu alinunua kutoka kwa wana wa Hethi. Abrahamu alizikwa huko pamoja na Sara mke wake.+ 11 Baada ya kifo cha Abrahamu, Mungu aliendelea kumbariki Isaka mwanawe,+ na Isaka alikuwa akikaa karibu na Beer-lahai-roi.+

12 Hii ndiyo historia ya Ishmaeli+ mwana wa Abrahamu ambaye Hagari+ Mmisri, kijakazi wa Sara, alimzalia Abrahamu.

13 Haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kulingana na asili za koo zao: Nebayothi+ mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, kisha Kedari,+ Adbeeli, Mibsamu,+ 14 Mishma, Duma, Masa, 15 Hadadi, Tema, Yeturi, Nafishi, na Kedema. 16 Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ndiyo majina yao kulingana na makao yao na kulingana na kambi zao,* wakuu 12 kulingana na koo zao.+ 17 Na Ishmaeli aliishi miaka 137. Kisha akakata pumzi na kufa, naye akazikwa pamoja na watu wake.* 18 Nao wakaanza kuishi katika nchi ya Havila+ karibu na Shuri,+ karibu na Misri, mpaka Ashuru. Aliishi karibu na ndugu zake wote.*+

19 Na hii ndiyo historia ya Isaka mwana wa Abrahamu.+

Abrahamu alimzaa Isaka. 20 Isaka alikuwa na umri wa miaka 40 alipomwoa Rebeka, binti ya Bethueli,+ Mwaramu wa Padan-aramu, dada ya Labani yule Mwaramu. 21 Naye Isaka akaendelea kumsihi Yehova kumhusu mke wake kwa sababu alikuwa tasa; kwa hiyo Yehova akasikiliza ombi lake, na Rebeka mke wake akapata mimba. 22 Na wana waliokuwa tumboni mwake wakaanza kupambana,+ akasema: “Ikiwa hivi ndivyo mambo yalivyo, kwa nini niendelee kuishi?” Basi akamuuliza Yehova kuhusu jambo hilo. 23 Yehova akamwambia: “Mataifa mawili yamo tumboni mwako,+ na mataifa mawili yatatenganishwa kutoka ndani yako;+ na taifa moja litakuwa na nguvu kuliko lingine,+ na mkubwa atamtumikia mdogo.”+

24 Wakati wake wa kuzaa ulipofika, tazama! mapacha walikuwa tumboni mwake. 25 Kisha wa kwanza akatoka, mwili wake wote ulikuwa mwekundu kama vazi la manyoya,+ kwa hiyo wakampa jina Esau.*+ 26 Kisha ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa umeshika kisigino cha Esau,+ kwa hiyo akampa jina Yakobo.*+ Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 Rebeka alipowazaa.

27 Wavulana hao walipoendelea kukua, Esau akawa mwindaji stadi,+ mtu wa mbugani, lakini Yakobo akawa mtu asiye na lawama, anayekaa katika mahema.+ 28 Na Isaka alimpenda Esau kwa sababu alikuwa akimletea nyama za porini, lakini Rebeka alimpenda Yakobo.+ 29 Siku moja Yakobo alipokuwa akichemsha mchuzi, Esau alirudi kutoka mbugani akiwa amechoka. 30 Kwa hiyo Esau akamwambia Yakobo: “Fanya haraka, tafadhali, nipe kiasi kidogo cha mchuzi huo mwekundu,* kwa maana nimechoka sana!”* Ndiyo sababu alipewa jina Edomu.*+ 31 Ndipo Yakobo akamwambia: “Kwanza niuzie haki yako ya mzaliwa wa kwanza!”+ 32 Esau akasema: “Ninakaribia kufa! Haki ya kuzaliwa ina faida gani kwangu?” 33 Yakobo akamwambia: “Niapie kwanza!” Basi akamwapia na kumuuzia Yakobo haki yake ya mzaliwa wa kwanza.+ 34 Ndipo Yakobo akampa Esau mkate na mchuzi wa dengu, akala na kunywa, kisha akainuka na kwenda zake. Hivyo, Esau akaidharau haki yake ya kuzaliwa.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki