Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zekaria—Yaliyomo

      • Yehova awashutumu wanaofunga kwa unafiki (1-14)

        • “Je, kweli mlifunga kwa ajili yangu?” (5)

        • ‘Mtendeane kwa haki, upendo mshikamanifu, na huruma’ (9)

Zekaria 7:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza B15.

Marejeo

  • +Ezr 6:14; Zek 1:1

Zekaria 7:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wautulize uso wa Yehova.”

Zekaria 7:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hekalu la.”

Marejeo

  • +2Fa 25:8-10; Yer 52:12-14

Zekaria 7:5

Marejeo

  • +Yer 41:1, 2
  • +Yer 25:11; Zek 1:12

Zekaria 7:7

Marejeo

  • +2Nya 36:15

Zekaria 7:9

Marejeo

  • +Met 21:3; Yer 21:12
  • +Met 16:6; Ho. 10:12; Mik 6:8

Zekaria 7:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mtoto asiye na baba.”

Marejeo

  • +Kut 22:22; Kum 24:17; Isa 1:17
  • +Kut 23:9; Mal 3:5
  • +Met 22:22
  • +Zek 8:17

Zekaria 7:11

Marejeo

  • +2Nya 33:10; Yer 6:10
  • +Ne 9:29
  • +2Fa 17:13, 14; Isa 6:10; Yer 25:7

Zekaria 7:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “jiwe gumu,” kama vile jiwe la msasa.

  • *

    Au “mafundisho.”

Marejeo

  • +Eze 3:7
  • +Ne 9:30; Mdo 7:51
  • +2Nya 36:15, 16; Yer 21:5

Zekaria 7:13

Marejeo

  • +Isa 50:2
  • +Isa 1:15; Omb 3:44

Zekaria 7:14

Marejeo

  • +Kum 28:64; Yer 5:15
  • +Law 26:22, 33; 2Nya 36:20, 21

Jumla

Zek. 7:1Ezr 6:14; Zek 1:1
Zek. 7:32Fa 25:8-10; Yer 52:12-14
Zek. 7:5Yer 41:1, 2
Zek. 7:5Yer 25:11; Zek 1:12
Zek. 7:72Nya 36:15
Zek. 7:9Met 21:3; Yer 21:12
Zek. 7:9Met 16:6; Ho. 10:12; Mik 6:8
Zek. 7:10Kut 22:22; Kum 24:17; Isa 1:17
Zek. 7:10Kut 23:9; Mal 3:5
Zek. 7:10Met 22:22
Zek. 7:10Zek 8:17
Zek. 7:112Nya 33:10; Yer 6:10
Zek. 7:11Ne 9:29
Zek. 7:112Fa 17:13, 14; Isa 6:10; Yer 25:7
Zek. 7:12Eze 3:7
Zek. 7:12Ne 9:30; Mdo 7:51
Zek. 7:122Nya 36:15, 16; Yer 21:5
Zek. 7:13Isa 50:2
Zek. 7:13Isa 1:15; Omb 3:44
Zek. 7:14Kum 28:64; Yer 5:15
Zek. 7:14Law 26:22, 33; 2Nya 36:20, 21
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zekaria 7:1-14

Zekaria

7 Na katika mwaka wa nne wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Yehova lilimjia Zekaria+ siku ya nne ya mwezi wa tisa, yaani, mwezi wa Kislevu.* 2 Watu wa Betheli walimtuma Shareza na Regem-meleki na wanaume wake ili wamwombe Yehova kibali,* 3 wawaulize hivi makuhani wa nyumba ya* Yehova wa majeshi na pia manabii: “Je, nilie katika mwezi wa tano+ na kujinyima chakula, kama vile ambavyo nimekuwa nikifanya kwa miaka mingi sana?”

4 Neno la Yehova wa majeshi likanijia tena, likisema: 5 “Waambie watu wote nchini na makuhani, ‘Mlipofunga na kulia kwa sauti katika mwezi wa tano na mwezi wa saba+ kwa miaka 70,+ je, kweli mlifunga kwa ajili yangu? 6 Na mlipokuwa mkila na kunywa, je, hamkuwa mkila na kunywa kwa ajili yenu wenyewe? 7 Je, hampaswi kutii maneno ambayo Yehova alitangaza kupitia manabii wa kale,+ wakati jiji la Yerusalemu na majiji yaliyolizunguka yalipokuwa na wakaaji na yalipokuwa na amani, na watu walipokaa Negebu na Shefela?’”

8 Neno la Yehova likamjia tena Zekaria, likisema: 9 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Hukumuni kwa haki ya kweli,+ na mtendeane kwa upendo mshikamanifu+ na rehema. 10 Msimpunje mjane wala yatima,*+ mgeni+ wala maskini;+ na katika mioyo yenu msipangiane njama za kutendeana uovu.’+ 11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ wakageuza migongo yao kwa ukaidi,+ na kuziba masikio yao ili wasisikie.+ 12 Waliifanya mioyo yao iwe kama almasi*+ nao walikataa kutii sheria* na maneno ambayo Yehova wa majeshi aliwapa kwa roho yake kupitia manabii wa kale.+ Kwa hiyo Yehova wa majeshi akakasirika sana.”+

13 “‘Kama vile ambavyo hawakunisikiliza nilipowaita,+ mimi pia sikuwasikiliza waliponiita,’+ asema Yehova wa majeshi. 14 ‘Nami niliwatawanya kwa kimbunga kotekote katika mataifa yote ambayo hawakuyajua,+ na nchi ikaachwa ukiwa nyuma yao, hivi kwamba hakuna yeyote aliyeingia wala kutoka;+ kwa maana waliibadili nchi yenye kutamanika ikawa kitu cha kutisha.’”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki