Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yohana—Yaliyomo

      • Neno akawa mwili (1-18)

      • Ushahidi uliotolewa na Yohana Mbatizaji (19-28)

      • Yesu, Mwanakondoo wa Mungu (29-34)

      • Wanafunzi wa kwanza wa Yesu (35-42)

      • Filipo na Nathanaeli (43-51)

Yohana 1:1

Media

  • Hapo mwanzo Neno alikuwako pamoja na Mungu naye alikuwa mungu (gnj 1 00:00–00:43)

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “alikuwa wa kimungu.”

Marejeo

  • +Kol 1:15; Ufu 19:11, 13
  • +Met 8:22, 30
  • +Isa 9:6; Yoh 1:18; Flp 2:5, 6

Yohana 1:3

Media

  • Neno alitumiwa na Mungu kuumba vitu vingine vyote (gnj 1 00:44–01:04)
  • Uzima na nuru vilikuja kuwako kupitia kwa Neno (gnj 1 01:05–02:11)

Marejeo

  • +Yoh 1:10

Yohana 1:4

Marejeo

  • +Yoh 8:12

Yohana 1:5

Media

  • Giza halijaishinda nuru (gnj 1 02:12–03:59)

Marejeo

  • +Yoh 3:19

Yohana 1:6

Marejeo

  • +Mt 3:1; Lu 3:2

Yohana 1:7

Marejeo

  • +Mt 3:11

Yohana 1:8

Marejeo

  • +Yoh 1:19, 20

Yohana 1:9

Media

  • Nuru ya kweli ilikuwa karibu kuja ulimwenguni (gnj 1 1:10:35–1:10:55)

Marejeo

  • +Mt 4:16, 17; Yoh 3:19; 12:46; 1Yo 2:8

Yohana 1:10

Marejeo

  • +Yoh 1:14
  • +Mwa 1:26; 1Ko 8:6; Kol 1:16; Ebr 1:2

Yohana 1:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “walionyesha imani.”

Marejeo

  • +Ro 8:14, 16; 2Ko 6:18; Efe 1:5; 1Yo 3:1
  • +Gal 3:26

Yohana 1:13

Marejeo

  • +Yoh 3:3; 1Pe 1:23; 1Yo 3:9

Yohana 1:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “alijaa fadhili zisizostahiliwa.”

Marejeo

  • +Flp 2:7; 1Ti 3:16; Ebr 2:14
  • +Yoh 3:16; 1Yo 4:9

Yohana 1:15

Marejeo

  • +Yoh 8:58

Yohana 1:17

Marejeo

  • +Kut 31:18
  • +Ro 3:23, 24; Efe 1:5, 6
  • +Yoh 8:31, 32; 14:6; 18:37

Yohana 1:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kifuani pa Baba.” Inamaanisha mahali pa heshima ya pekee au pendeleo.”

Marejeo

  • +Kut 33:17, 20; Yoh 6:46
  • +Yoh 1:1
  • +Met 8:22, 30
  • +Mt 11:27

Yohana 1:19

Marejeo

  • +Lu 3:15

Yohana 1:21

Marejeo

  • +Mal 4:5
  • +Kum 18:15; Yoh 6:14, 15; 7:37, 40; Mdo 3:22

Yohana 1:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Isa 40:3
  • +Mt 3:1, 3; Mk 1:3; Lu 1:67, 76; 3:3, 4; 7:27, 28

Yohana 1:27

Marejeo

  • +Mt 3:11

Yohana 1:28

Marejeo

  • +Mt 3:1, 6

Yohana 1:29

Marejeo

  • +Mdo 8:32, 35; 1Pe 1:18, 19; Ufu 5:6
  • +Isa 53:7, 11; 1Ko 15:3; Ebr 9:13, 14; 1Pe 2:24; 1Yo 3:5
  • +Yoh 6:51; 1Yo 2:1, 2; 4:14

Yohana 1:30

Marejeo

  • +Yoh 1:15

Yohana 1:31

Marejeo

  • +Mdo 19:4

Yohana 1:32

Marejeo

  • +Mt 3:16; Mk 1:10; Lu 3:22

Yohana 1:33

Marejeo

  • +Mt 3:16
  • +Mt 3:11; Mdo 1:5; 2:1, 4

Yohana 1:34

Marejeo

  • +Mt 3:17

Yohana 1:36

Marejeo

  • +Ufu 5:12

Yohana 1:39

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, karibu saa 10 jioni.

Yohana 1:40

Marejeo

  • +Mt 4:18

Yohana 1:41

Marejeo

  • +Da 9:25

Yohana 1:42

Marejeo

  • +Mt 10:2; Mdo 15:14
  • +Mt 16:18

Yohana 1:43

Marejeo

  • +Mt 10:2, 3

Yohana 1:45

Marejeo

  • +Mt 10:2, 3; Lu 6:13, 14
  • +Mt 1:16; 13:55; Lu 2:4

Yohana 1:47

Marejeo

  • +Yoh 2:24, 25

Yohana 1:49

Marejeo

  • +Mt 27:11; Lu 1:31, 32; Yoh 12:13

Yohana 1:51

Marejeo

  • +Mwa 28:10, 12; Zb 104:4; Da 7:13; Mt 4:11; Lu 22:43

Jumla

Yoh. 1:1Kol 1:15; Ufu 19:11, 13
Yoh. 1:1Met 8:22, 30
Yoh. 1:1Isa 9:6; Yoh 1:18; Flp 2:5, 6
Yoh. 1:3Yoh 1:10
Yoh. 1:4Yoh 8:12
Yoh. 1:5Yoh 3:19
Yoh. 1:6Mt 3:1; Lu 3:2
Yoh. 1:7Mt 3:11
Yoh. 1:8Yoh 1:19, 20
Yoh. 1:9Mt 4:16, 17; Yoh 3:19; 12:46; 1Yo 2:8
Yoh. 1:10Yoh 1:14
Yoh. 1:10Mwa 1:26; 1Ko 8:6; Kol 1:16; Ebr 1:2
Yoh. 1:12Ro 8:14, 16; 2Ko 6:18; Efe 1:5; 1Yo 3:1
Yoh. 1:12Gal 3:26
Yoh. 1:13Yoh 3:3; 1Pe 1:23; 1Yo 3:9
Yoh. 1:14Flp 2:7; 1Ti 3:16; Ebr 2:14
Yoh. 1:14Yoh 3:16; 1Yo 4:9
Yoh. 1:15Yoh 8:58
Yoh. 1:17Kut 31:18
Yoh. 1:17Ro 3:23, 24; Efe 1:5, 6
Yoh. 1:17Yoh 8:31, 32; 14:6; 18:37
Yoh. 1:18Kut 33:17, 20; Yoh 6:46
Yoh. 1:18Yoh 1:1
Yoh. 1:18Met 8:22, 30
Yoh. 1:18Mt 11:27
Yoh. 1:19Lu 3:15
Yoh. 1:21Mal 4:5
Yoh. 1:21Kum 18:15; Yoh 6:14, 15; 7:37, 40; Mdo 3:22
Yoh. 1:23Isa 40:3
Yoh. 1:23Mt 3:1, 3; Mk 1:3; Lu 1:67, 76; 3:3, 4; 7:27, 28
Yoh. 1:27Mt 3:11
Yoh. 1:28Mt 3:1, 6
Yoh. 1:29Mdo 8:32, 35; 1Pe 1:18, 19; Ufu 5:6
Yoh. 1:29Isa 53:7, 11; 1Ko 15:3; Ebr 9:13, 14; 1Pe 2:24; 1Yo 3:5
Yoh. 1:29Yoh 6:51; 1Yo 2:1, 2; 4:14
Yoh. 1:30Yoh 1:15
Yoh. 1:31Mdo 19:4
Yoh. 1:32Mt 3:16; Mk 1:10; Lu 3:22
Yoh. 1:33Mt 3:16
Yoh. 1:33Mt 3:11; Mdo 1:5; 2:1, 4
Yoh. 1:34Mt 3:17
Yoh. 1:36Ufu 5:12
Yoh. 1:40Mt 4:18
Yoh. 1:41Da 9:25
Yoh. 1:42Mt 10:2; Mdo 15:14
Yoh. 1:42Mt 16:18
Yoh. 1:43Mt 10:2, 3
Yoh. 1:45Mt 10:2, 3; Lu 6:13, 14
Yoh. 1:45Mt 1:16; 13:55; Lu 2:4
Yoh. 1:47Yoh 2:24, 25
Yoh. 1:49Mt 27:11; Lu 1:31, 32; Yoh 12:13
Yoh. 1:51Mwa 28:10, 12; Zb 104:4; Da 7:13; Mt 4:11; Lu 22:43
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yohana 1:1-51

Kulingana na Yohana

1 Hapo mwanzo Neno alikuwako,+ naye Neno alikuwa pamoja na Mungu,+ na Neno alikuwa mungu.*+ 2 Mwanzoni yeye alikuwa pamoja na Mungu. 3 Vitu vyote vilikuja kuwako kupitia kwake,+ na bila yeye hakuna hata kitu kimoja kilichokuja kuwako.

Kile ambacho kimekuja kuwako 4 kupitia kwake kilikuwa uzima, na uzima ulikuwa nuru ya wanadamu.+ 5 Nuru inang’aa gizani,+ lakini giza halijaishinda.

6 Kuna mtu aliyetumwa akiwa mwakilishi wa Mungu; jina lake lilikuwa Yohana.+ 7 Mtu huyo alikuja akiwa shahidi, ili atoe ushahidi kuhusu nuru,+ ili watu wa namna zote waamini kupitia kwake. 8 Yeye hakuwa nuru hiyo,+ bali alikuja kutoa ushahidi kuhusu nuru hiyo.

9 Nuru ya kweli inayowaangazia watu wa aina zote ilikuwa karibu kuja ulimwenguni.+ 10 Alikuwa ulimwenguni,+ nao ulimwengu ulikuja kuwako kupitia kwake,+ lakini ulimwengu haukumjua. 11 Alikuja nyumbani kwake mwenyewe, lakini watu wake mwenyewe hawakumkubali. 12 Hata hivyo, wale wote waliompokea, aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa na imani* katika jina lake.+ 13 Nao hawakuzaliwa kutokana na damu, wala mapenzi ya mwili au mapenzi ya mwanadamu, bali kutokana na Mungu.+

14 Kwa hiyo Neno akawa mwili,+ akakaa kati yetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu ulio kama wa mwana mzaliwa pekee+ kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa kibali cha Mungu* na kweli. 15 (Yohana alitoa ushahidi kumhusu, ndiyo, alisema kwa sauti kubwa: “Huyu ndiye niliyesema kumhusu, ‘Yule anayekuja nyuma yangu amenitangulia, kwa maana alikuwapo kabla yangu.’”)+ 16 Kwa maana sote tulipokea kutokana na wingi alio nao, hata fadhili zisizostahiliwa juu ya fadhili zisizostahiliwa. 17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ lakini fadhili zisizostahiliwa+ na kweli zilikuja kupitia Yesu Kristo.+ 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa pekee+ aliye kando ya Baba,*+ ndiye ameeleza kumhusu.+

19 Huu ndio ushahidi aliotoa Yohana, Wayahudi walipowatuma makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu wakamuulize: “Wewe ni nani?”+ 20 Naye akakiri na hakukana, akisema: “Mimi siye Kristo.” 21 Nao wakamuuliza: “Basi, wewe ni nani? Je, wewe ndiye Eliya?”+ Akajibu: “Mimi siye.” “Je, wewe ndiye yule Nabii?”+ Akajibu: “Hapana!” 22 Kwa hiyo wakamwambia: “Wewe ni nani? Tuambie ili tupate jibu la kuwapa wale waliotutuma. Unasema nini juu yako mwenyewe?” 23 Akasema: “Mimi ni mtu anayepaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’*+ kama alivyosema nabii Isaya.”+ 24 Sasa wale waliotumwa walitoka kwa Mafarisayo. 25 Basi wakamuuliza: “Kwa nini unabatiza ikiwa wewe si Kristo au Eliya au yule Nabii?” 26 Yohana akawajibu: “Mimi ninabatiza katika maji. Kuna mtu aliyesimama miongoni mwenu msiyemjua, 27 yule anayekuja nyuma yangu, ambaye sistahili kufungua kamba za viatu vyake.”+ 28 Mambo hayo yalifanyika huko Bethania ng’ambo ya Yordani, ambako Yohana alikuwa akibatiza watu.+

29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwanakondoo+ wa Mungu ambaye huondoa dhambi+ ya ulimwengu!+ 30 Huyu ndiye niliyesema kumhusu: ‘Nyuma yangu anakuja mwanamume ambaye amenitangulia, kwa sababu alikuwapo kabla yangu.’+ 31 Hata mimi sikumjua, lakini nilikuja kubatiza katika maji ili afunuliwe kwa Israeli.”+ 32 Yohana pia alitoa ushahidi akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+ 33 Hata mimi sikumjua, bali Yule aliyenituma nikabatize katika maji aliniambia: ‘Yeyote ambaye utaona roho ikishuka na kukaa juu yake,+ huyo ndiye anayebatiza kwa roho takatifu.’+ 34 Mimi nimeona, nami nimetoa ushahidi kwamba huyo ndiye Mwana wa Mungu.”+

35 Tena siku iliyofuata, Yohana alikuwa amesimama pamoja na wawili kati ya wanafunzi wake. 36 Alipomtazama Yesu akipita akasema: “Ona, Mwanakondoo+ wa Mungu!” 37 Wanafunzi hao wawili walipomsikia akisema hivyo, wakamfuata Yesu. 38 Ndipo Yesu akageuka na alipowaona wakimfuata, akawauliza: “Mnatafuta nini?” Wakamwambia: “Rabi (neno ambalo linapotafsiriwa linamaanisha, “Mwalimu”), unakaa wapi?” 39 Akawaambia: “Njooni, nanyi mtaona.” Basi wakaenda na kuona mahali alipokuwa akikaa, nao wakakaa pamoja naye siku hiyo; ilikuwa karibu saa kumi.* 40 Andrea,+ ndugu ya Simoni Petro alikuwa mmoja wa wale wawili waliosikia mambo aliyosema Yohana na kumfuata Yesu. 41 Kwanza alimpata Simoni ndugu yake na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (neno ambalo linapotafsiriwa linamaanisha, “Kristo”), 42 kisha akampeleka kwa Yesu. Yesu akamtazama na kumwambia: “Wewe ni Simoni+ mwana wa Yohana; utaitwa Kefa” (linalotafsiriwa kuwa, “Petro”).+

43 Siku iliyofuata Yesu alitaka kwenda Galilaya. Basi akamkuta Filipo+ na kumwambia: “Njoo uwe mfuasi wangu.” 44 Filipo alitoka Bethsaida, jiji walilotoka Andrea na Petro. 45 Filipo akamkuta Nathanaeli+ na kumwambia: “Tumempata yule ambaye Musa, katika Sheria, na Manabii waliandika kumhusu: Yesu, mwana wa Yosefu,+ kutoka Nazareti.” 46 Lakini Nathanaeli akamuuliza: “Je, kitu chochote kizuri kinaweza kutoka Nazareti?” Filipo akamjibu: “Njoo uone.” 47 Yesu alipomwona Nathanaeli akija, akasema hivi kumhusu: “Ona, Mwisraeli kwa hakika ambaye hamna udanganyifu ndani yake.”+ 48 Nathanaeli akamuuliza: “Umenijuaje?” Yesu akamjibu: “Nilikuona ulipokuwa chini ya mtini, kabla ya Filipo kukuita.” 49 Nathanaeli akamwambia: “Rabi, wewe ni Mwana wa Mungu, wewe ni Mfalme wa Israeli.”+ 50 Yesu akasema: “Je, unaamini kwa sababu nimekuambia nilikuona chini ya mtini? Utaona mambo makubwa kuliko haya.” 51 Kisha akamwambia: “Kwa kweli ninawaambia, mtaona mbingu imefunguliwa na malaika wa Mungu wakipanda na kushuka kwa Mwana wa binadamu.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki