Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waebrania—Yaliyomo

      • Utumishi mtakatifu katika hekalu la duniani (1-10)

      • Kristo aingia mbinguni akiwa na damu yake (11-28)

        • Mpatanishi wa agano jipya (15)

Waebrania 9:1

Marejeo

  • +Kut 25:8

Waebrania 9:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mikate ya wonyesho.”

Marejeo

  • +Hes 4:9
  • +Kut 40:22-24
  • +Kut 26:33

Waebrania 9:3

Marejeo

  • +Kut 36:35
  • +Kut 26:31, 33

Waebrania 9:4

Marejeo

  • +Law 16:12; Ufu 8:3
  • +Kut 40:21
  • +Kut 25:10, 11
  • +Kut 16:33
  • +Hes 17:10
  • +Kut 32:15

Waebrania 9:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mahali pa kufunika dhambi.”

Marejeo

  • +Kut 25:18, 22; Hes 7:89

Waebrania 9:6

Marejeo

  • +Law 24:3, 4

Waebrania 9:7

Marejeo

  • +Law 16:2
  • +Kut 30:10; Law 16:14
  • +Law 16:6, 11
  • +Law 16:15

Waebrania 9:8

Marejeo

  • +Ebr 10:19, 20

Waebrania 9:9

Marejeo

  • +Kol 2:16, 17; Ebr 8:5; 10:1
  • +Law 23:37, 38
  • +Gal 3:21; Ebr 7:11, 19

Waebrania 9:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ubatizo wa aina mbalimbali.”

Marejeo

  • +Kut 30:17-19
  • +Hes 19:13

Waebrania 9:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “fidia ya; wokovu wa.”

Marejeo

  • +Ebr 12:24; 13:20
  • +Da 9:24; Mt 20:28; 1Ti 2:5, 6

Waebrania 9:13

Marejeo

  • +Law 16:6, 15
  • +Hes 19:9, 17, 19

Waebrania 9:14

Marejeo

  • +1Pe 1:18, 19
  • +1Yo 1:7
  • +Ro 12:1

Waebrania 9:15

Marejeo

  • +Lu 22:20; 1Ti 2:5; Ebr 12:22, 24
  • +Mt 20:28
  • +Ro 8:17

Waebrania 9:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “halikuzinduliwa.”

Waebrania 9:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kitabu cha kukunjwa.”

Waebrania 9:20

Marejeo

  • +Kut 24:6-8

Waebrania 9:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utumishi wa watu wote.”

Marejeo

  • +Kut 29:12; Law 8:15

Waebrania 9:22

Marejeo

  • +Law 17:11
  • +Law 9:7-9

Waebrania 9:23

Marejeo

  • +Ebr 8:5; 9:9
  • +Law 16:19, 20

Waebrania 9:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbele za uso wa.”

Marejeo

  • +Ebr 8:1, 2
  • +Kol 2:16, 17
  • +Ebr 6:19, 20; 9:12
  • +Law 16:15; Ro 8:34

Waebrania 9:25

Marejeo

  • +Law 16:2, 34

Waebrania 9:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Mfumo wa mambo.”

Marejeo

  • +Da 9:24; Ebr 7:27; 1Pe 3:18

Waebrania 9:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hatakuja kushughulika na dhambi.”

Marejeo

  • +Isa 53:12; Ro 6:10; 1Pe 2:24
  • +2Ti 4:8; Tit 2:13

Jumla

Ebr. 9:1Kut 25:8
Ebr. 9:2Hes 4:9
Ebr. 9:2Kut 40:22-24
Ebr. 9:2Kut 26:33
Ebr. 9:3Kut 36:35
Ebr. 9:3Kut 26:31, 33
Ebr. 9:4Law 16:12; Ufu 8:3
Ebr. 9:4Kut 40:21
Ebr. 9:4Kut 25:10, 11
Ebr. 9:4Kut 16:33
Ebr. 9:4Hes 17:10
Ebr. 9:4Kut 32:15
Ebr. 9:5Kut 25:18, 22; Hes 7:89
Ebr. 9:6Law 24:3, 4
Ebr. 9:7Law 16:2
Ebr. 9:7Kut 30:10; Law 16:14
Ebr. 9:7Law 16:6, 11
Ebr. 9:7Law 16:15
Ebr. 9:8Ebr 10:19, 20
Ebr. 9:9Kol 2:16, 17; Ebr 8:5; 10:1
Ebr. 9:9Law 23:37, 38
Ebr. 9:9Gal 3:21; Ebr 7:11, 19
Ebr. 9:10Kut 30:17-19
Ebr. 9:10Hes 19:13
Ebr. 9:12Ebr 12:24; 13:20
Ebr. 9:12Da 9:24; Mt 20:28; 1Ti 2:5, 6
Ebr. 9:13Law 16:6, 15
Ebr. 9:13Hes 19:9, 17, 19
Ebr. 9:141Pe 1:18, 19
Ebr. 9:141Yo 1:7
Ebr. 9:14Ro 12:1
Ebr. 9:15Lu 22:20; 1Ti 2:5; Ebr 12:22, 24
Ebr. 9:15Mt 20:28
Ebr. 9:15Ro 8:17
Ebr. 9:20Kut 24:6-8
Ebr. 9:21Kut 29:12; Law 8:15
Ebr. 9:22Law 17:11
Ebr. 9:22Law 9:7-9
Ebr. 9:23Ebr 8:5; 9:9
Ebr. 9:23Law 16:19, 20
Ebr. 9:24Ebr 8:1, 2
Ebr. 9:24Kol 2:16, 17
Ebr. 9:24Ebr 6:19, 20; 9:12
Ebr. 9:24Law 16:15; Ro 8:34
Ebr. 9:25Law 16:2, 34
Ebr. 9:26Da 9:24; Ebr 7:27; 1Pe 3:18
Ebr. 9:28Isa 53:12; Ro 6:10; 1Pe 2:24
Ebr. 9:282Ti 4:8; Tit 2:13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Waebrania 9:1-28

Kwa Waebrania

9 Basi, kwa upande wake, lile agano la zamani lilikuwa na matakwa ya kisheria kwa ajili ya utumishi mtakatifu na mahali pake patakatifu+ duniani. 2 Kwa maana chumba cha kwanza cha hema kilijengwa, na ndani yake mlikuwa na kinara cha taa+ na meza na mikate ya toleo;*+ nacho kinaitwa Mahali Patakatifu.+ 3 Lakini nyuma ya pazia la pili+ kulikuwa na chumba cha hema kilichoitwa Patakatifu Zaidi.+ 4 Hicho kilikuwa na chetezo cha dhahabu+ na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kabisa kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana,+ fimbo ya Haruni iliyochipuka,+ na yale mabamba+ ya agano; 5 na juu yake palikuwa na wale makerubi wenye utukufu waliokifunika kile kifuniko cha upatanisho.*+ Lakini sasa si wakati wa kuzungumzia mambo hayo kirefu.

6 Baada ya vitu hivyo kujengwa kwa njia hiyo, makuhani huingia katika chumba cha kwanza cha hema kwa ukawaida ili kutoa utumishi mtakatifu;+ 7 lakini kuhani mkuu huingia ndani ya chumba cha pili akiwa peke yake mara moja kwa mwaka,+ akiwa na damu,+ ambayo huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi ambazo watu+ walifanya bila kujua. 8 Hivyo roho takatifu hufanya iwe wazi kwamba njia ya kuingia mahali patakatifu bado haikuwa imefunuliwa lile hema la zamani lilipokuwa limesimama.+ 9 Hema hili ni mfano kwa ajili ya wakati huu,+ na kulingana na mpango huu, zawadi na dhabihu zinatolewa.+ Hata hivyo, haziwezi kufanya dhamiri ya mtu anayefanya utumishi mtakatifu iwe kamilifu.+ 10 Zinahusu vyakula na vinywaji tu na njia mbalimbali za kujisafisha kisherehe.*+ Hayo yalikuwa matakwa ya kisheria kuhusu mwili+ nayo yalifuatwa mpaka wakati uliowekwa wa kunyoosha mambo.

11 Hata hivyo, Kristo alipokuja akiwa kuhani mkuu wa mambo mema ambayo tayari yamefanyika, aliingia katika hema kubwa na kamilifu zaidi ambalo halikutengenezwa kwa mikono, yaani, si la uumbaji huu. 12 Aliingia mahali patakatifu, si kwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe dume wachanga, bali kwa damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote, na kupata ukombozi wa* milele kwa ajili yetu.+ 13 Kwa maana ikiwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe dume+ na majivu ya ndama jike yaliyonyunyizwa juu ya wale ambao wametiwa unajisi hutakasa ili kuusafisha mwili,+ 14 je, damu ya Kristo,+ ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa mwenyewe kwa Mungu bila dosari, haitazisafisha hata zaidi dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tumtolee utumishi mtakatifu Mungu aliye hai?+

15 Hiyo ndiyo sababu yeye ni mpatanishi wa agano jipya,+ ili kwa sababu kifo kimetokea kusudi waachiliwe huru kupitia fidia+ kutoka kwenye makosa chini ya agano la zamani, wale ambao wameitwa waipokee ahadi ya urithi unaodumu milele.+ 16 Kwa maana palipo na agano, kifo cha mwanadamu anayefanya agano kinahitaji kuthibitishwa, 17 kwa sababu agano huwa halali kifo kinapotokea, kwa kuwa halitumiki ikiwa mwanadamu anayefanya agano bado yuko hai. 18 Kwa hiyo, lile agano la zamani halikuanza kutumika* bila damu. 19 Kwa maana Musa alipowatajia watu wote kila amri ya Sheria, alichukua damu ya wale ng’ombe dume wachanga na ya wale mbuzi, pamoja na maji, sufu nyekundu, na hisopo, na kukinyunyizia kile kitabu* na watu wote, 20 akisema: “Hii ndiyo damu ya agano ambalo Mungu amewaamuru mlishike.”+ 21 Vilevile alilinyunyizia damu lile hema na vyombo vyote vya utumishi mtakatifu.*+ 22 Ndiyo, kulingana na Sheria karibu vitu vyote husafishwa kwa damu,+ na hakuna msamaha unaopatikana bila kumwaga damu.+

23 Kwa hiyo, ilikuwa muhimu kwa mifano ya uhalisi+ wa vitu vilivyo mbinguni kusafishwa kwa njia hiyo,+ lakini vitu vya mbinguni vinahitaji dhabihu zilizo bora zaidi. 24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipotengenezwa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ hivi kwamba sasa anaonekana mbele za* Mungu kwa ajili yetu.+ 25 Hilo halikufanywa ili ajitoe mwenyewe mara nyingi, kama kuhani mkuu anavyoingia mahali patakatifu mwaka baada ya mwaka+ akiwa na damu ambayo si yake mwenyewe. 26 La sivyo, ingekuwa lazima ateseke mara nyingi tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu. Lakini sasa amejifunua mara moja kwa wakati wote kwenye umalizio wa mifumo ya mambo* ili kuondoa dhambi kupitia dhabihu yake mwenyewe.+ 27 Na kama vile watu wamewekwa akiba kufa mara moja kwa wakati wote, lakini baada ya hapo wapokee hukumu, 28 vivyo hivyo pia Kristo alitolewa mara moja kwa wakati wote ili kubeba dhambi za wengi;+ na mara ya pili atakapotokea itakuwa bila dhambi,* naye ataonwa na wale wanaomtazamia kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki