Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

      • Onyo dhidi ya wanawake waasherati (1-14)

      • Shangilia pamoja na mke wako (15-23)

Methali 5:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Utegee sikio.”

Marejeo

  • +1Fa 4:29; Yak 1:19

Methali 5:2

Marejeo

  • +Met 15:7

Methali 5:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mgeni.” Angalia Met 2:16.

Marejeo

  • +Met 7:14-21
  • +Met 9:16, 17

Methali 5:4

Marejeo

  • +Mhu 7:26
  • +Met 6:32, 33

Methali 5:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Methali 5:8

Marejeo

  • +Met 9:14, 15

Methali 5:9

Marejeo

  • +Met 29:3
  • +Met 6:33-35; 7:23

Methali 5:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nguvu.”

Marejeo

  • +Met 31:3; Lu 15:30

Methali 5:11

Marejeo

  • +Met 7:22, 23

Methali 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Katikati ya kusanyiko na kutaniko.”

Marejeo

  • +Met 6:27-29

Methali 5:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “baridi.”

Marejeo

  • +1Ko 7:3; Ebr 13:4

Methali 5:16

Marejeo

  • +Met 5:20

Methali 5:17

Marejeo

  • +Mwa 2:24

Methali 5:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Chanzo chako cha maji na kibarikiwe.”

Marejeo

  • +Kum 24:5; Mhu 9:9

Methali 5:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mbuzi mwitu.”

  • *

    Au “yakuleweshe.”

Marejeo

  • +Wim 2:9
  • +Mwa 26:8; 29:20; Wim 8:6

Methali 5:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mgeni.” Angalia Met 2:16.

  • *

    Tnn., “mgeni.” Angalia Met 2:16.

Marejeo

  • +Met 22:14

Methali 5:21

Marejeo

  • +2Nya 16:9; Zb 11:4; 17:3; Yer 17:10; Ebr 4:13

Methali 5:22

Marejeo

  • +Zb 7:14-16; Gal 6:7

Jumla

Met. 5:11Fa 4:29; Yak 1:19
Met. 5:2Met 15:7
Met. 5:3Met 7:14-21
Met. 5:3Met 9:16, 17
Met. 5:4Mhu 7:26
Met. 5:4Met 6:32, 33
Met. 5:8Met 9:14, 15
Met. 5:9Met 29:3
Met. 5:9Met 6:33-35; 7:23
Met. 5:10Met 31:3; Lu 15:30
Met. 5:11Met 7:22, 23
Met. 5:14Met 6:27-29
Met. 5:151Ko 7:3; Ebr 13:4
Met. 5:16Met 5:20
Met. 5:17Mwa 2:24
Met. 5:18Kum 24:5; Mhu 9:9
Met. 5:19Wim 2:9
Met. 5:19Mwa 26:8; 29:20; Wim 8:6
Met. 5:20Met 22:14
Met. 5:212Nya 16:9; Zb 11:4; 17:3; Yer 17:10; Ebr 4:13
Met. 5:22Zb 7:14-16; Gal 6:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 5:1-23

Methali

5 Mwanangu, sikiliza hekima yangu.

Sikiliza kwa makini* utambuzi wangu,+

 2 Ili uweze kuulinda uwezo wako wa kufikiri

Na kuulinda ujuzi kwa midomo yako.+

 3 Kwa maana midomo ya mwanamke aliyepotoka* inadondoka kama sega la asali,+

Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta.+

 4 Lakini mwishowe ni mchungu kama pakanga+

Na mwenye makali kama upanga unaokata kwa pande zote mbili.+

 5 Miguu yake hushuka kwenye kifo.

Hatua zake huongoza moja kwa moja Kaburini.*

 6 Hakazii fikira kijia cha uzima.

Huyumbayumba katika njia yake, lakini hajui inakoelekea.

 7 Sasa, wanangu, nisikilizeni

Nanyi msiache ninayosema.

 8 Kaeni mbali naye;

Msiukaribie mlango wa nyumba yake,+

 9 Ili msiwape wengine heshima yenu+

Wala kuvuna miaka ya ukatili;+

10 Ili wageni wasimalize mali* zenu+

Na vitu mlivyopata kwa jasho viende katika nyumba ya mgeni.

11 La sivyo, mtalia kwa uchungu mwishoni mwa maisha yenu

Nyama na mwili wenu vitakapodhoofika+

12 Nanyi mseme: “Jinsi nilivyochukia nidhamu!

Jinsi moyo wangu ulivyodharau karipio!

13 Sikusikiliza sauti ya wakufunzi wangu

Wala kuwasikiliza kwa makini walimu wangu.

14 Nimefika ukingoni mwa maangamizi kamili

Katikati ya kutaniko lote.”*+

15 Kunywa maji ya tangi lako mwenyewe

Na maji yanayotiririka* kutoka katika kisima chako mwenyewe.+

16 Je, chemchemi zako zitawanywe nje,

Na vijito vyako vya maji katika viwanja vya jiji?+

17 Na yawe yako peke yako,

Wala si ya wageni pamoja nawe.+

18 Chemchemi yako na ibarikiwe,*

Na ushangilie pamoja na mke wa ujana wako,+

19 Paa jike anayependeza, mbuzi wa mlimani* anayevutia.+

Matiti yake na yakuridhishe* nyakati zote.

Upendo wake na ukusisimue daima.+

20 Basi mwanangu, kwa nini usisimuliwe na mwanamke aliyepotoka*

Au kukikumbatia kifua cha mwanamke mwasherati?*+

21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele ya macho ya Yehova;

Yeye huvichunguza vijia vyake vyote.+

22 Mwovu hunaswa na makosa yake mwenyewe,

Naye atashikwa na kamba za dhambi yake mwenyewe.+

23 Atakufa kwa sababu ya utovu wa nidhamu

Na kupotea njia kwa sababu ya upumbavu wake uliopita kiasi.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki