Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 115
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mungu peke yake ndiye anayepaswa kutukuzwa

        • Sanamu zisizo na uhai (4-8)

        • Wanadamu wamepewa dunia (16)

        • “Watu waliokufa hawamsifu Yah” (17)

Zaburi 115:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Hatustahili chochote, Ee Yehova, hatustahili chochote.”

Marejeo

  • +Isa 48:11; Yoh 12:28
  • +Zb 138:2

Zaburi 115:2

Marejeo

  • +Kut 32:12; Hes 14:15, 16; Kum 32:26, 27; Zb 79:10

Zaburi 115:4

Marejeo

  • +Zb 135:15-18; Isa 40:19; 46:6; Yer 10:3, 4, 8, 9; Mdo 19:26; 1Ko 10:19

Zaburi 115:5

Marejeo

  • +Hab 2:19

Zaburi 115:7

Marejeo

  • +1Sa 5:3; Isa 46:7
  • +Hab 2:18

Zaburi 115:8

Marejeo

  • +Isa 44:9
  • +Zb 97:7

Zaburi 115:9

Marejeo

  • +Met 3:5
  • +Kum 33:29; Zb 33:20

Zaburi 115:10

Marejeo

  • +Kut 28:1

Zaburi 115:11

Marejeo

  • +Met 16:20
  • +Zb 84:11

Zaburi 115:12

Marejeo

  • +Mwa 12:2

Zaburi 115:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

Marejeo

  • +Mwa 13:16

Zaburi 115:15

Marejeo

  • +Zb 3:8
  • +Zb 96:5

Zaburi 115:16

Marejeo

  • +Isa 66:1
  • +Mwa 1:28; Zb 37:29; Isa 45:18; Mdo 17:26

Zaburi 115:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwenye kimya.”

Marejeo

  • +Zb 6:5; Mhu 9:5
  • +Zb 31:17

Zaburi 115:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Jumla

Zab. 115:1Isa 48:11; Yoh 12:28
Zab. 115:1Zb 138:2
Zab. 115:2Kut 32:12; Hes 14:15, 16; Kum 32:26, 27; Zb 79:10
Zab. 115:4Zb 135:15-18; Isa 40:19; 46:6; Yer 10:3, 4, 8, 9; Mdo 19:26; 1Ko 10:19
Zab. 115:5Hab 2:19
Zab. 115:71Sa 5:3; Isa 46:7
Zab. 115:7Hab 2:18
Zab. 115:8Isa 44:9
Zab. 115:8Zb 97:7
Zab. 115:9Met 3:5
Zab. 115:9Kum 33:29; Zb 33:20
Zab. 115:10Kut 28:1
Zab. 115:11Met 16:20
Zab. 115:11Zb 84:11
Zab. 115:12Mwa 12:2
Zab. 115:14Mwa 13:16
Zab. 115:15Zb 3:8
Zab. 115:15Zb 96:5
Zab. 115:16Isa 66:1
Zab. 115:16Mwa 1:28; Zb 37:29; Isa 45:18; Mdo 17:26
Zab. 115:17Zb 6:5; Mhu 9:5
Zab. 115:17Zb 31:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 115:1-18

Zaburi

115 Usitutukuze sisi, Ee Yehova, usitutukuze sisi,*

Bali litukuze jina lako+

Kwa sababu ya upendo wako mshikamanifu na uaminifu wako.+

 2 Kwa nini mataifa yaseme:

“Yuko wapi Mungu wao?”+

 3 Mungu wetu yuko mbinguni;

Hufanya lolote apendalo.

 4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,

Kazi ya mikono ya mwanadamu.+

 5 Zina kinywa, lakini haziwezi kuongea;+

Zina macho, lakini haziwezi kuona;

 6 Zina masikio, lakini haziwezi kusikia;

Zina pua, lakini haziwezi kunusa;

 7 Zina mikono, lakini haziwezi kugusa;

Zina miguu, lakini haziwezi kutembea;+

Hazitoi sauti yoyote kwa koo zake.+

 8 Watu wanaozitengeneza watakuwa kama sanamu hizo,+

Na pia wote wanaozitumaini.+

 9 Ee Israeli, mtumainini Yehova+

—Yeye ndiye msaada wenu na ngao yenu.+

10 Ee nyumba ya Haruni,+ mtumainini Yehova;

—Yeye ndiye msaada wenu na ngao yenu.

11 Ninyi mnaomwogopa Yehova, mtumainini Yehova+

—Yeye ndiye msaada wenu na ngao yenu.+

12 Yehova anatukumbuka na atatubariki;

Ataibariki nyumba ya Israeli;+

Ataibariki nyumba ya Haruni.

13 Atawabariki wale wanaomwogopa Yehova,

Wadogo kwa wakubwa.

14 Yehova atawapa ongezeko,

Ninyi na watoto* wenu.+

15 Yehova na awabariki,+

Muumba wa mbingu na dunia.+

16 Mbingu ni za Yehova,+

Lakini dunia amewapa wanadamu.+

17 Watu waliokufa hawamsifu Yah;+

Wala yeyote anayeshuka kwenye ukimya wa kifo.*+

18 Lakini sisi tutamsifu Yah

Kuanzia sasa mpaka milele.

Msifuni Yah!*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki