Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 23
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mathayo—Yaliyomo

      • Msiwaige waandishi na Mafarisayo (1-12)

      • Ole kwa waandishi na Mafarisayo (13-36)

      • Yesu aombolezea Yerusalemu (37-39)

Mathayo 23:3

Marejeo

  • +Mal 2:7, 8

Mathayo 23:4

Marejeo

  • +Mt 11:28
  • +Lu 11:46

Mathayo 23:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanapanua vibweta vyao.”

Marejeo

  • +Mt 6:1, 2
  • +Kum 6:6, 8
  • +Hes 15:38, 39

Mathayo 23:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “bora.”

Marejeo

  • +Mk 12:38, 39; Lu 11:43; 14:7, 10; 20:46

Mathayo 23:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mwalimu.”

Mathayo 23:8

Marejeo

  • +Yoh 13:13

Mathayo 23:9

Marejeo

  • +Mt 6:9

Mathayo 23:11

Marejeo

  • +Mt 20:26; Mk 9:35; Lu 22:26

Mathayo 23:12

Marejeo

  • +Met 16:18
  • +Met 29:23; Mt 18:4; Lu 14:11; Ro 12:3; 1Pe 5:5

Mathayo 23:13

Marejeo

  • +Lu 11:52

Mathayo 23:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A3.

Mathayo 23:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mt 6:2; Lu 12:56

Mathayo 23:16

Marejeo

  • +Mt 15:14
  • +Mt 5:34, 35

Mathayo 23:21

Marejeo

  • +1Fa 8:13

Mathayo 23:23

Marejeo

  • +Law 27:30
  • +Mik 6:8; Yoh 7:24
  • +Mt 9:13; 12:7
  • +Lu 11:42

Mathayo 23:24

Marejeo

  • +Mt 15:14
  • +Law 11:23
  • +Law 11:4

Mathayo 23:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “vitu vilivyoporwa.”

Marejeo

  • +Mk 7:3, 4
  • +Mk 12:38, 40
  • +Lu 11:39

Mathayo 23:27

Marejeo

  • +Lu 12:56
  • +Lu 11:44; Mdo 23:3

Mathayo 23:28

Marejeo

  • +Lu 16:15

Mathayo 23:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “makaburi ya ukumbusho.”

Marejeo

  • +Mt 6:2
  • +Lu 11:47

Mathayo 23:31

Marejeo

  • +Lu 11:48; Mdo 7:52; Ebr 11:32, 37

Mathayo 23:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nyoka-vipiri.”

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mt 3:7; 12:34; Lu 3:7
  • +Mt 10:28; Lu 12:5

Mathayo 23:34

Marejeo

  • +Lu 11:49-51
  • +Mt 13:52
  • +Yoh 16:2; Mdo 7:59
  • +Mdo 5:40; 2Ko 11:24
  • +Lu 21:12

Mathayo 23:35

Marejeo

  • +Mwa 4:8, 10; Ebr 11:4
  • +2Nya 24:20-22

Mathayo 23:37

Marejeo

  • +Yoh 8:59; Ebr 11:32, 37
  • +Lu 13:34; 19:41, 42

Mathayo 23:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Mmeachiwa nyumba yenu ukiwa.”

Marejeo

  • +1Fa 9:7, 8; Yer 12:7; 22:5; Mt 21:43; Lu 21:20

Mathayo 23:39

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Zb 118:26

Jumla

Mt. 23:3Mal 2:7, 8
Mt. 23:4Mt 11:28
Mt. 23:4Lu 11:46
Mt. 23:5Mt 6:1, 2
Mt. 23:5Kum 6:6, 8
Mt. 23:5Hes 15:38, 39
Mt. 23:6Mk 12:38, 39; Lu 11:43; 14:7, 10; 20:46
Mt. 23:8Yoh 13:13
Mt. 23:9Mt 6:9
Mt. 23:11Mt 20:26; Mk 9:35; Lu 22:26
Mt. 23:12Met 16:18
Mt. 23:12Met 29:23; Mt 18:4; Lu 14:11; Ro 12:3; 1Pe 5:5
Mt. 23:13Lu 11:52
Mt. 23:15Mt 6:2; Lu 12:56
Mt. 23:16Mt 15:14
Mt. 23:16Mt 5:34, 35
Mt. 23:211Fa 8:13
Mt. 23:23Law 27:30
Mt. 23:23Mik 6:8; Yoh 7:24
Mt. 23:23Mt 9:13; 12:7
Mt. 23:23Lu 11:42
Mt. 23:24Mt 15:14
Mt. 23:24Law 11:23
Mt. 23:24Law 11:4
Mt. 23:25Mk 7:3, 4
Mt. 23:25Mk 12:38, 40
Mt. 23:25Lu 11:39
Mt. 23:27Lu 12:56
Mt. 23:27Lu 11:44; Mdo 23:3
Mt. 23:28Lu 16:15
Mt. 23:29Mt 6:2
Mt. 23:29Lu 11:47
Mt. 23:31Lu 11:48; Mdo 7:52; Ebr 11:32, 37
Mt. 23:33Mt 3:7; 12:34; Lu 3:7
Mt. 23:33Mt 10:28; Lu 12:5
Mt. 23:34Lu 11:49-51
Mt. 23:34Mt 13:52
Mt. 23:34Yoh 16:2; Mdo 7:59
Mt. 23:34Mdo 5:40; 2Ko 11:24
Mt. 23:34Lu 21:12
Mt. 23:35Mwa 4:8, 10; Ebr 11:4
Mt. 23:352Nya 24:20-22
Mt. 23:37Yoh 8:59; Ebr 11:32, 37
Mt. 23:37Lu 13:34; 19:41, 42
Mt. 23:381Fa 9:7, 8; Yer 12:7; 22:5; Mt 21:43; Lu 21:20
Mt. 23:39Zb 118:26
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mathayo 23:1-39

Kulingana na Mathayo

23 Ndipo Yesu akauambia umati pamoja na wanafunzi wake: 2 “Waandishi na Mafarisayo wamejiketisha kwenye kiti cha Musa. 3 Kwa hiyo, fanyeni mambo yote wanayowaambia, lakini msitende kama wao, kwa maana wao husema lakini hawatendi mambo wanayosema.+ 4 Wao hufunga mizigo mizito na kuiweka kwenye mabega ya watu,+ lakini wao wenyewe hawataki kuisogeza hata kwa kidole chao.+ 5 Kazi zote wanazofanya, wanazifanya ili waonwe na watu,+ kwa maana wanapanua visanduku vyenye maandiko wanavyovaa kama ulinzi,*+ na kurefusha pindo zenye nyuzi za mavazi yao.+ 6 Wao hupenda mahali penye heshima zaidi kwenye milo ya jioni na viti vya mbele* katika masinagogi+ 7 na kusalimiwa sokoni na kuitwa Rabi* na watu. 8 Lakini ninyi, msiitwe Rabi, kwa maana Mwalimu+ wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu. 9 Zaidi ya hayo, msimwite mtu yeyote baba yenu duniani, kwa maana Baba yenu+ ni mmoja, Yule aliye mbinguni. 10 Wala msiitwe viongozi, kwa maana Kiongozi wenu ni mmoja, Kristo. 11 Lakini aliye mkuu zaidi kati yenu lazima awe mhudumu wenu.+ 12 Yeyote anayejiinua atanyenyekezwa,+ na yeyote anayejinyenyekeza atainuliwa.+

13 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu mnawafungia watu Ufalme wa mbinguni; kwa maana ninyi wenyewe hamwingii, na mnawazuia wale wanaotaka kuingia.+ 14* ——

15 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki!+ kwa sababu mnasafiri baharini na kwenye nchi kavu ili kumgeuza imani mtu mmoja, na anapogeuka, mnamfanya astahili Gehena* mara mbili zaidi yenu.

16 “Ole wenu, viongozi vipofu+ mnaosema, ‘Yeyote akiapa kwa hekalu, si kitu; lakini yeyote akiapa kwa dhahabu ya hekalu, yuko chini ya wajibu.’+ 17 Wapumbavu na vipofu! Kwa kweli, ni kipi kilicho kikubwa zaidi, dhahabu au hekalu linaloitakasa dhahabu hiyo? 18 Isitoshe, ‘Yeyote akiapa kwa madhabahu, si kitu; lakini yeyote akiapa kwa zawadi iliyo kwenye madhabahu, yuko chini ya wajibu.’ 19 Ninyi vipofu! Kwa kweli, ni kipi kilicho kikubwa zaidi, zawadi au madhabahu ambayo huitakasa zawadi hiyo? 20 Kwa hiyo yeyote anayeapa kwa madhabahu anaapa kwa madhabahu na kwa kila kitu kilicho juu yake; 21 na yeyote anayeapa kwa hekalu anaapa kwa hekalu na kwa Yule anayekaa ndani yake;+ 22 na yeyote anayeapa kwa mbingu anaapa kwa kiti cha ufalme cha Mungu na kwa Yule anayeketi juu yake.

23 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki! kwa sababu mnatoa sehemu ya kumi ya mnanaa na dili na bizari,+ lakini mmepuuza mambo mazito zaidi ya Sheria, yaani, haki,+ rehema,+ na uaminifu. Mlipaswa kufanya mambo hayo, bila kupuuza yale mengine.+ 24 Viongozi vipofu,+ ambao huchuja mbu+ lakini hummeza ngamia!+

25 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki! kwa sababu mnasafisha upande wa nje wa kikombe na wa sahani,+ lakini ndani vimejaa pupa*+ na kutojizuia.+ 26 Farisayo kipofu, safisha kwanza ndani ya kikombe na sahani ili upande wa nje uwe safi pia.

27 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki!+ kwa sababu mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa,+ ambayo kwa nje yanapendeza lakini ndani yamejaa mifupa ya wafu na kila namna ya uchafu. 28 Vivyo hivyo, kwa nje mnaonekana waadilifu kwa watu, lakini ndani mmejaa unafiki na uasi sheria.+

29 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki!+ kwa sababu mnajenga makaburi ya manabii na kuyarembesha makaburi* ya waadilifu,+ 30 nanyi mnasema, ‘Kama tungeishi katika siku za mababu zetu, hatungeshirikiana nao kumwaga damu ya manabii.’ 31 Kwa hiyo, mnashuhudia dhidi yenu wenyewe kwamba ninyi ni wana wa wale waliowaua manabii.+ 32 Basi, kijazeni kipimo cha mababu zenu.

33 “Ninyi nyoka, wana wa nyoka,*+ mtaikimbiaje hukumu ya Gehena?*+ 34 Kwa sababu hiyo, ninawatuma kwenu manabii+ na watu wenye hekima na walimu wa watu wote.+ Baadhi yao mtawaua+ na kuwatundika kwenye miti, na baadhi yao mtawapiga mijeledi+ katika masinagogi yenu na kuwatesa+ katika jiji baada ya jiji, 35 ili damu yote ya waadilifu iliyomwagwa duniani ije juu yenu, kuanzia damu ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua kati ya patakatifu na madhabahu.+ 36 Kwa kweli ninawaambia, mambo yote haya yatakipata kizazi hiki.

37 “Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji wa manabii na aliyewapiga mawe wale waliotumwa kwake+—nilijaribu mara ngapi kuwakusanya watoto wako, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga wake chini ya mabawa yake! Lakini hamkutaka.+ 38 Tazama! Mmeachiwa nyumba yenu.*+ 39 Kwa maana ninawaambia, tangu sasa hamtaniona tena mpaka mtakaposema, ‘Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova!’”*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki