Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Petro 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Petro—Yaliyomo

      • Salamu (1)

      • Fanyeni mwito wenu uwe hakika (2-15)

        • Sifa zinazoongezwa kwenye imani (5-9)

      • Neno la kinabii lafanywa hakika zaidi (16-21)

2 Petro 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “imani waliyo nayo katika pendeleo lililo sawa na letu.”

2 Petro 1:2

Marejeo

  • +Kol 1:9

2 Petro 1:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “zimetupatia bila malipo.”

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Yoh 17:3

2 Petro 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ametupatia bila malipo.”

  • *

    Au “uchu.”

Marejeo

  • +Lu 22:29, 30; Yoh 14:2; Gal 3:29
  • +1Ko 15:53; 1Pe 1:3, 4; 1Yo 3:2; Ufu 20:6

2 Petro 1:5

Marejeo

  • +Flp 2:12; 2Ti 2:15; Ebr 4:11; Yud 3
  • +Flp 4:8
  • +Yoh 17:3; Ebr 5:14

2 Petro 1:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kujidhibiti; kujiweza.”

  • *

    Au “kujidhibiti; kujiweza.”

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Ko 9:25; 2Ti 2:24
  • +2Pe 2:9

2 Petro 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Th 4:9

2 Petro 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wasiopata matokeo mazuri.”

Marejeo

  • +Tit 3:14

2 Petro 1:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “kipofu, asiyeona mbali.”

Marejeo

  • +1Yo 2:9; Ufu 3:17
  • +Ebr 9:14

2 Petro 1:10

Marejeo

  • +Ebr 3:1
  • +2Ti 4:7, 8

2 Petro 1:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mtakavyoongezewa.”

Marejeo

  • +Da 2:44
  • +Lu 16:9; Yoh 3:5

2 Petro 1:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hema hili,” yaani, mwili wake wa duniani.

Marejeo

  • +2Ko 5:1
  • +Ro 15:15; Yud 5

2 Petro 1:14

Marejeo

  • +Yoh 21:18

2 Petro 1:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuyataja.”

2 Petro 1:16

Marejeo

  • +Mt 17:2; Mk 9:2; Lu 9:29

2 Petro 1:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “sauti kama hii.”

Marejeo

  • +Zb 2:7; Mt 17:1, 5; Mk 9:7; Lu 9:35

2 Petro 1:19

Marejeo

  • +Zb 119:105; Yoh 1:9
  • +Hes 24:17; Ufu 22:16

2 Petro 1:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “walivyochukuliwa.”

Marejeo

  • +2Ti 3:16
  • +2Sa 23:2; Mdo 1:16; 28:25; 1Pe 1:11

Jumla

2 Pet. 1:2Kol 1:9
2 Pet. 1:3Yoh 17:3
2 Pet. 1:4Lu 22:29, 30; Yoh 14:2; Gal 3:29
2 Pet. 1:41Ko 15:53; 1Pe 1:3, 4; 1Yo 3:2; Ufu 20:6
2 Pet. 1:5Flp 2:12; 2Ti 2:15; Ebr 4:11; Yud 3
2 Pet. 1:5Flp 4:8
2 Pet. 1:5Yoh 17:3; Ebr 5:14
2 Pet. 1:61Ko 9:25; 2Ti 2:24
2 Pet. 1:62Pe 2:9
2 Pet. 1:71Th 4:9
2 Pet. 1:8Tit 3:14
2 Pet. 1:91Yo 2:9; Ufu 3:17
2 Pet. 1:9Ebr 9:14
2 Pet. 1:10Ebr 3:1
2 Pet. 1:102Ti 4:7, 8
2 Pet. 1:11Da 2:44
2 Pet. 1:11Lu 16:9; Yoh 3:5
2 Pet. 1:132Ko 5:1
2 Pet. 1:13Ro 15:15; Yud 5
2 Pet. 1:14Yoh 21:18
2 Pet. 1:16Mt 17:2; Mk 9:2; Lu 9:29
2 Pet. 1:17Zb 2:7; Mt 17:1, 5; Mk 9:7; Lu 9:35
2 Pet. 1:19Zb 119:105; Yoh 1:9
2 Pet. 1:19Hes 24:17; Ufu 22:16
2 Pet. 1:212Ti 3:16
2 Pet. 1:212Sa 23:2; Mdo 1:16; 28:25; 1Pe 1:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
2 Petro 1:1-21

Barua ya Pili ya Petro

1 Simoni Petro, mtumwa na mtume wa Yesu Kristo, kwa wale ambao wamepata imani, yenye thamani kama yetu* kupitia uadilifu wa Mungu wetu na Mwokozi wetu Yesu Kristo:

2 Na mwongezewe fadhili zisizostahiliwa na amani kwa ujuzi sahihi+ kumhusu Mungu na kumhusu Yesu Bwana wetu, 3 kwa maana nguvu zake za kimungu zimetupatia* mambo yote yanayoleta uzima na ujitoaji-kimungu* kupitia ujuzi sahihi kumhusu Yule ambaye alituita+ kwa utukufu wake na wema wa adili. 4 Kupitia mambo haya ametupatia* ahadi zenye thamani na zilizo bora,+ ili kupitia hizo muwe washiriki katika asili ya kimungu,+ mkiwa mmeponyoka kutoka katika uharibifu wa ulimwengu unaosababishwa na tamaa mbaya.*

5 Kwa sababu hii, jitahidini kabisa+ kuongeza kwenye imani yenu wema wa adili,+ kwenye wema wenu wa adili ujuzi,+ 6 kwenye ujuzi wenu kujizuia,* kwenye kujizuia*+ kwenu uvumilivu, kwenye uvumilivu wenu ujitoaji-kimungu,*+ 7 kwenye ujitoaji-kimungu* wenu upendo wa kindugu, kwenye upendo wenu wa kindugu upendo.+ 8 Kwa maana mambo hayo yakiwa ndani yenu na kufurika, yatawazuia msiwe wasiotenda ama wasiozaa matunda*+ kuhusiana na ujuzi sahihi kumhusu Bwana wetu Yesu Kristo.

9 Kwa maana yeyote asiye na mambo hayo ni kipofu, na amefunga macho yake yasione nuru,*+ naye amesahau kutakaswa kwake kutoka kwenye dhambi zake+ za zamani za kale. 10 Kwa hiyo, akina ndugu, jitahidini hata zaidi ili kufanya mwito+ na kuchaguliwa kwenu kuwe hakika kwa ajili yenu wenyewe, kwa maana mkiendelea kufanya mambo hayo, hamtashindwa kamwe.+ 11 Kwa kweli, hivyo ndivyo mtakavyowezeshwa* kwa wingi kuingia katika Ufalme wa milele+ wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.+

12 Kwa sababu hiyo sikuzote ninakusudia kuwakumbusha mambo haya, ingawa mnayajua na mko imara katika kweli iliyo ndani yenu. 13 Lakini ninaona inafaa, maadamu niko katika maskani hii,*+ kuwachochea kwa kuwakumbusha,+ 14 kama ninavyojua kwamba maskani yangu itaondolewa hivi karibuni, kama vile pia Bwana wetu Yesu Kristo alivyonionyesha.+ 15 Sikuzote nitafanya yote ninayoweza ili nitakapoondoka, ninyi wenyewe muweze kuyakumbuka* mambo hayo.

16 Hapana, hatukuwajulisha kuhusu nguvu na kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo kwa kufuata hadithi za uwongo zilizotungwa kwa werevu, badala yake, tulijionea kwa macho fahari yake.+ 17 Kwa maana alipokea kutoka kwa Mungu Baba heshima na utukufu alipoambiwa maneno kama haya* kwa utukufu wenye fahari: “Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ambaye mimi mwenyewe nimemkubali.”+ 18 Ndiyo, maneno hayo tuliyasikia yakitoka mbinguni tulipokuwa pamoja naye katika ule mlima mtakatifu.

19 Basi tuna neno la kinabii likiwa limefanywa hakika zaidi, nanyi mnafanya vema kulikazia uangalifu kama vile taa+ inayoangaza mahali penye giza (mpaka siku ipambazuke na nyota ya mchana+ ichomoze) mioyoni mwenu. 20 Kwa kuwa kwanza mnajua kwamba hakuna unabii wa Andiko unaotokana na fasiri yoyote ya kibinafsi. 21 Kwa maana unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu,+ bali wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu kama walivyoongozwa* na roho takatifu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki