Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yohana—Yaliyomo

      • Yesu asali mara ya mwisho akiwa na wanafunzi wake (1-26)

        • Uzima wa milele ndio huu, kumjua Mungu (3)

        • Wakristo si sehemu ya ulimwengu (14-16)

        • “Neno lako ni kweli” (17)

        • “Nimewajulisha jina lako” (26)

Yohana 17:1

Marejeo

  • +Yoh 12:23; 13:31, 32

Yohana 17:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanadamu wote; watu wote.”

Marejeo

  • +Flp 2:9, 10
  • +Yoh 4:14; 6:27
  • +Yoh 6:37

Yohana 17:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “waendelee kupata ujuzi juu yako wewe.”

Marejeo

  • +Lu 10:25-28
  • +1Yo 5:20
  • +Efe 4:11, 13; 2Pe 3:18

Yohana 17:4

Marejeo

  • +Yoh 13:31
  • +Yoh 4:34

Yohana 17:5

Marejeo

  • +Yoh 1:1; 8:58; Kol 1:15

Yohana 17:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nimelijulisha.”

  • *

    Au “wamelitii.”

Marejeo

  • +Zb 22:22; Mdo 15:14; Ebr 2:12

Yohana 17:8

Marejeo

  • +Yoh 6:68; 8:28; 12:49; 14:10
  • +Yoh 16:27
  • +Yoh 16:30

Yohana 17:10

Marejeo

  • +Yoh 16:15

Yohana 17:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wawe na umoja.”

  • *

    Au “tulivyo na umoja.”

Marejeo

  • +Yoh 13:1
  • +1Pe 1:5; Yud 24
  • +Yoh 10:30; 17:21

Yohana 17:12

Marejeo

  • +Yoh 6:39; 10:28
  • +Yoh 18:9
  • +Mk 14:21
  • +Zb 41:9; 109:8; Mdo 1:20

Yohana 17:13

Marejeo

  • +Yoh 15:11

Yohana 17:14

Marejeo

  • +Yoh 15:19; Yak 4:4

Yohana 17:15

Marejeo

  • +Mt 6:13; 2Th 3:3; 1Yo 5:18

Yohana 17:16

Marejeo

  • +Kol 1:13
  • +Yoh 18:36

Yohana 17:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Uwaweke kando; Uwafanye wawe watakatifu.”

Marejeo

  • +Efe 5:25, 26; 1Th 5:23; 2Th 2:13; 1Pe 1:22
  • +Zb 12:6; 119:151, 160

Yohana 17:18

Marejeo

  • +Yoh 20:21

Yohana 17:21

Marejeo

  • +Ro 12:5; 1Ko 1:10; Gal 3:28
  • +Yoh 10:38; 14:10

Yohana 17:22

Marejeo

  • +Yoh 14:20; 17:11; 1Yo 3:24

Yohana 17:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “waunganishwe kikamili.”

Yohana 17:24

Marejeo

  • +Lu 22:28-30; 1Th 4:17
  • +Yoh 17:5

Yohana 17:25

Marejeo

  • +Yoh 8:55; 15:21
  • +Mt 11:27

Yohana 17:26

Marejeo

  • +Mt 6:9; Yoh 17:6
  • +Yoh 15:9

Jumla

Yoh. 17:1Yoh 12:23; 13:31, 32
Yoh. 17:2Flp 2:9, 10
Yoh. 17:2Yoh 4:14; 6:27
Yoh. 17:2Yoh 6:37
Yoh. 17:3Lu 10:25-28
Yoh. 17:31Yo 5:20
Yoh. 17:3Efe 4:11, 13; 2Pe 3:18
Yoh. 17:4Yoh 13:31
Yoh. 17:4Yoh 4:34
Yoh. 17:5Yoh 1:1; 8:58; Kol 1:15
Yoh. 17:6Zb 22:22; Mdo 15:14; Ebr 2:12
Yoh. 17:8Yoh 6:68; 8:28; 12:49; 14:10
Yoh. 17:8Yoh 16:27
Yoh. 17:8Yoh 16:30
Yoh. 17:10Yoh 16:15
Yoh. 17:11Yoh 13:1
Yoh. 17:111Pe 1:5; Yud 24
Yoh. 17:11Yoh 10:30; 17:21
Yoh. 17:12Yoh 6:39; 10:28
Yoh. 17:12Yoh 18:9
Yoh. 17:12Mk 14:21
Yoh. 17:12Zb 41:9; 109:8; Mdo 1:20
Yoh. 17:13Yoh 15:11
Yoh. 17:14Yoh 15:19; Yak 4:4
Yoh. 17:15Mt 6:13; 2Th 3:3; 1Yo 5:18
Yoh. 17:16Kol 1:13
Yoh. 17:16Yoh 18:36
Yoh. 17:17Efe 5:25, 26; 1Th 5:23; 2Th 2:13; 1Pe 1:22
Yoh. 17:17Zb 12:6; 119:151, 160
Yoh. 17:18Yoh 20:21
Yoh. 17:21Ro 12:5; 1Ko 1:10; Gal 3:28
Yoh. 17:21Yoh 10:38; 14:10
Yoh. 17:22Yoh 14:20; 17:11; 1Yo 3:24
Yoh. 17:24Lu 22:28-30; 1Th 4:17
Yoh. 17:24Yoh 17:5
Yoh. 17:25Yoh 8:55; 15:21
Yoh. 17:25Mt 11:27
Yoh. 17:26Mt 6:9; Yoh 17:6
Yoh. 17:26Yoh 15:9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yohana 17:1-26

Kulingana na Yohana

17 Yesu akasema mambo hayo, kisha akatazama mbinguni na kusema: “Baba, saa imefika. Mtukuze mwana wako ili mwana wako akutukuze,+ 2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili,*+ ili awape uzima wa milele+ wote ambao umempa.+ 3 Uzima wa milele ndio huu,+ wakujue wewe,* Mungu wa pekee wa kweli,+ na yule uliyemtuma, Yesu Kristo.+ 4 Nimekutukuza duniani,+ kwa kuwa nimemaliza kazi uliyonipa nifanye.+ 5 Sasa Baba, nitukuze kando yako kwa utukufu niliokuwa nao kando yako kabla ya ulimwengu kuwako.+

6 “Nimelifunua* jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika* neno lako. 7 Sasa wamejua kwamba vitu vyote ulivyonipa vimetoka kwako; 8 kwa sababu nimewapa maneno uliyonipa,+ nao wameyakubali na kwa hakika wamejua kwamba nilikuja nikiwa mwakilishi wako,+ nao wameamini kwamba ulinituma.+ 9 Ninaomba kwa ajili yao; siombi kwa ajili ya ulimwengu, bali ninawaombea wale ulionipa, kwa sababu ni wako; 10 na vitu vyangu vyote ni vyako na vyako ni vyangu,+ nami nimetukuzwa kati yao.

11 “Mimi simo tena ulimwenguni, bali wao wamo ulimwenguni,+ nami ninakuja kwako. Baba Mtakatifu, walinde+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa, ili wawe kitu kimoja* kama vile sisi tulivyo kitu kimoja.*+ 12 Nilipokuwa pamoja nao nilikuwa nikiwatunza+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa; nami nimewalinda na hakuna hata mmoja wao aliyeangamizwa+ ila yule mwana wa maangamizi,+ ili andiko litimizwe.+ 13 Lakini sasa ninakuja kwako, nami ninasema mambo haya ulimwenguni ili wapate kikamili shangwe niliyo nayo.+ 14 Nimewapa neno lako, lakini ulimwengu umewachukia, kwa sababu wao si sehemu ya ulimwengu,+ kama vile ambavyo mimi si sehemu ya ulimwengu.

15 “Sikuombi uwatoe ulimwenguni, bali uwalinde kwa sababu ya yule mwovu.+ 16 Wao si sehemu ya ulimwengu,+ kama vile ambavyo mimi si sehemu ya ulimwengu.+ 17 Watakase* kupitia ile kweli;+ neno lako ni kweli.+ 18 Kama ulivyonituma ulimwenguni, mimi pia nimewatuma ulimwenguni.+ 19 Nami ninajitakasa kwa ajili yao, ili wao pia watakaswe kupitia ile kweli.

20 “Ninaomba si kwa ajili ya hawa tu, bali pia wale wanaoniamini kupitia neno lao, 21 ili wote wawe kitu kimoja,+ kama vile ambavyo wewe Baba umo katika muungano nami, nami nimo katika muungano nawe,+ ili wao pia wawe katika muungano nasi, ili ulimwengu uamini kwamba ulinituma. 22 Nimewapa utukufu ambao umenipa, ili wawe kitu kimoja kama vile sisi tulivyo kitu kimoja.+ 23 Mimi katika muungano nao nawe katika muungano nami, ili wakamilishwe wawe kitu kimoja,* ili ulimwengu ujue kwamba ulinituma na uliwapenda wao kama vile ulivyonipenda. 24 Baba, ninataka wale ambao umenipa wawe pamoja nami mahali nilipo,+ ili waone utukufu wangu ambao umenipa, kwa sababu ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi wa ulimwengu.+ 25 Baba Mwadilifu, kwa kweli, ulimwengu haujakujua wewe,+ lakini mimi ninakujua,+ na hawa wamejua kwamba ulinituma. 26 Nimewajulisha jina lako nami nitalijulisha,+ ili upendo ulionipenda uwe ndani yao nami katika muungano pamoja nao.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki