Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 22
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ufunuo—Yaliyomo

      • Mto wa maji ya uzima (1-5)

      • Umalizio (6-21)

        • ‘Njoo! Uchukue maji ya uzima bure’ (17)

        • “Njoo, Bwana Yesu” (20)

Ufunuo 22:1

Marejeo

  • +Eze 47:1
  • +Yoh 1:29

Ufunuo 22:2

Marejeo

  • +Eze 47:12

Ufunuo 22:3

Marejeo

  • +Ufu 3:21

Ufunuo 22:4

Marejeo

  • +Mt 5:8
  • +Ufu 14:1

Ufunuo 22:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Ufu 21:25
  • +Isa 60:19, 20; 1Yo 1:5
  • +Da 7:18; Ufu 3:21

Ufunuo 22:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kutegemeka.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Tit 1:2
  • +2Ti 3:16

Ufunuo 22:7

Marejeo

  • +Ufu 16:15; 22:20
  • +Yoh 13:17; Ufu 1:3

Ufunuo 22:9

Marejeo

  • +Mt 4:10; Mdo 10:25, 26; Ufu 19:10

Ufunuo 22:12

Marejeo

  • +Zb 62:12; Isa 40:10; Ro 2:6

Ufunuo 22:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “herufi A na Z.” Alfa ni herufi ya kwanza na Omega ni herufi ya mwisho katika alfabeti ya Kigiriki.

Marejeo

  • +Isa 44:6; 48:12; Ufu 1:8; 21:6

Ufunuo 22:14

Marejeo

  • +1Yo 1:7
  • +Ufu 2:7
  • +Ufu 21:10, 12

Ufunuo 22:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, wale ambao matendo yao yanamchukiza Mungu.

  • *

    Angalia Kamusi, “Uasherati.”

Marejeo

  • +Gal 5:19-21; Efe 5:5; Ufu 21:8

Ufunuo 22:16

Marejeo

  • +Isa 11:1, 10; 53:2; Yer 23:5; 33:15; Ufu 5:5
  • +Hes 24:17; Ufu 2:28

Ufunuo 22:17

Marejeo

  • +Ufu 21:9
  • +Yoh 4:14
  • +Isa 55:1; Yoh 7:37; Ufu 7:17; 21:6

Ufunuo 22:18

Marejeo

  • +Kum 4:2; 12:32; Gal 1:8; 1Yo 4:3; 2Yo 9
  • +Ufu 15:1

Ufunuo 22:19

Marejeo

  • +Ufu 2:7
  • +Ufu 21:2

Ufunuo 22:20

Marejeo

  • +Ufu 3:11; 22:7

Jumla

Ufu. 22:1Eze 47:1
Ufu. 22:1Yoh 1:29
Ufu. 22:2Eze 47:12
Ufu. 22:3Ufu 3:21
Ufu. 22:4Mt 5:8
Ufu. 22:4Ufu 14:1
Ufu. 22:5Ufu 21:25
Ufu. 22:5Isa 60:19, 20; 1Yo 1:5
Ufu. 22:5Da 7:18; Ufu 3:21
Ufu. 22:6Tit 1:2
Ufu. 22:62Ti 3:16
Ufu. 22:7Ufu 16:15; 22:20
Ufu. 22:7Yoh 13:17; Ufu 1:3
Ufu. 22:9Mt 4:10; Mdo 10:25, 26; Ufu 19:10
Ufu. 22:12Zb 62:12; Isa 40:10; Ro 2:6
Ufu. 22:13Isa 44:6; 48:12; Ufu 1:8; 21:6
Ufu. 22:141Yo 1:7
Ufu. 22:14Ufu 2:7
Ufu. 22:14Ufu 21:10, 12
Ufu. 22:15Gal 5:19-21; Efe 5:5; Ufu 21:8
Ufu. 22:16Isa 11:1, 10; 53:2; Yer 23:5; 33:15; Ufu 5:5
Ufu. 22:16Hes 24:17; Ufu 2:28
Ufu. 22:17Ufu 21:9
Ufu. 22:17Yoh 4:14
Ufu. 22:17Isa 55:1; Yoh 7:37; Ufu 7:17; 21:6
Ufu. 22:18Kum 4:2; 12:32; Gal 1:8; 1Yo 4:3; 2Yo 9
Ufu. 22:18Ufu 15:1
Ufu. 22:19Ufu 2:7
Ufu. 22:19Ufu 21:2
Ufu. 22:20Ufu 3:11; 22:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ufunuo 22:1-21

Ufunuo kwa Yohana

22 Naye akanionyesha mto wa maji ya uzima,+ mwangavu kama fuwele, ukitiririka kutoka katika kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwanakondoo+ 2 ukiteremka katikati ya barabara yake kuu. Pande zote mbili za ule mto zilikuwa na miti ya uzima iliyozaa mazao 12 ya matunda, ikizaa matunda yake kila mwezi. Na majani ya ile miti yalikuwa ya kuponya mataifa.+

3 Na hakutakuwa tena na laana yoyote. Bali kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwanakondoo+ kitakuwa katika jiji hilo, na watumwa wake watamtolea utumishi mtakatifu; 4 nao watauona uso wake,+ na jina lake litakuwa kwenye mapaji ya nyuso zao.+ 5 Pia, hakutakuwa na usiku tena,+ na hawahitaji nuru ya taa au ya jua, kwa maana Yehova* Mungu ataangaza nuru yake juu yao,+ nao watatawala wakiwa wafalme milele na milele.+

6 Akaniambia: “Maneno haya ni ya uaminifu* na ya kweli;+ ndiyo, Yehova,* Mungu aliyewaongoza manabii,+ alimtuma malaika wake ili kuwaonyesha watumwa wake mambo ambayo lazima yatendeke upesi. 7 Tazama! Ninakuja upesi.+ Mwenye furaha ni yeyote anayeshika maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa.”+

8 Basi mimi, Yohana, ndiye niliyekuwa nikisikia na kuona mambo haya. Niliposikia na kuyaona, nikaanguka chini kuabudu miguuni pa yule malaika aliyekuwa akinionyesha mambo haya. 9 Lakini yeye akaniambia: “Uwe mwangalifu! Usifanye hivyo! Mimi ni mtumwa mwenzako tu na wa ndugu zako manabii na wa wale wanaoshika maneno ya kitabu hiki cha kukunjwa. Mwabudu Mungu.”+

10 Pia akaniambia: “Usiyatie muhuri maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa, kwa maana wakati uliowekwa uko karibu. 11 Yule anayetenda ukosefu wa uadilifu na aendelee kutenda ukosefu wa uadilifu, na mwenye uchafu aendelee katika uchafu wake; lakini mwadilifu na aendelee kufanya uadilifu, na mtakatifu aendelee katika utakatifu.

12 “‘Tazama! Ninakuja upesi, nikiwa na thawabu ninayotoa, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.+ 13 Mimi ndiye Alfa na Omega,*+ wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho. 14 Wenye furaha ni wale wanaofua kanzu zao,+ ili wawe na mamlaka ya kwenda kwenye miti ya uzima+ na waweze kuingia katika jiji kupitia malango yake.+ 15 Nje kuna mbwa* na wale walio na mazoea ya kuwasiliana na roho, waasherati,* wauaji, waabudu-sanamu, na kila mtu anayependa uwongo na aliye na mazoea ya kusema uwongo.’+

16 “‘Mimi, Yesu, nilimtuma malaika wangu kuwatolea ninyi ushahidi kuhusu mambo haya kwa ajili ya makutaniko. Mimi ndiye mzizi na uzao wa Daudi+ na nyota nyangavu ya asubuhi.’”+

17 Na roho na bibi harusi+ huendelea kusema, “Njoo!” na yeyote anayesikia na aseme, “Njoo!” na yeyote aliye na kiu aje;+ yeyote anayetaka achukue maji ya uzima bure.+

18 “Ninamtolea ushahidi kila mtu anayesikia maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa: Yeyote akiongeza kwenye mambo haya,+ Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki;+ 19 na yeyote akiondoa lolote kutoka katika maneno ya kitabu cha unabii huu, Mungu ataondoa fungu lake kutoka katika ile miti ya uzima+ na kutoka katika lile jiji takatifu,+ mambo yaliyoandikwa katika kitabu hiki cha kukunjwa.

20 “Yule anayetoa ushahidi kuhusu mambo haya anasema, ‘Ndiyo, mimi ninakuja upesi.’”+

“Amina! Njoo, Bwana Yesu.”

21 Fadhili zisizostahiliwa za Bwana Yesu na ziwe pamoja na watakatifu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki