Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mungu huhukumu kati ya mtu mshikamanifu na mwovu

        • Wanaofanya agano pamoja na Mungu kwa dhabihu (5)

        • “Mungu mwenyewe ni Mwamuzi” (6)

        • Wanyama wote ni wa Mungu (10, 11)

        • Mungu awafichua waovu (16-21)

Zaburi 50:utangulizi

Marejeo

  • +1Nya 25:1

Zaburi 50:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Yule Mungu, Yehova.”

  • *

    Au “Kutoka mashariki mpaka magharibi.”

Marejeo

  • +Zb 95:3

Zaburi 50:2

Marejeo

  • +Zb 48:2; Omb 2:15

Zaburi 50:3

Marejeo

  • +Isa 65:6
  • +Kut 19:18; Da 7:9, 10; Ebr 12:29
  • +Zb 97:3, 4

Zaburi 50:4

Marejeo

  • +Kum 30:19; 32:1; Isa 1:2
  • +Mik 6:2

Zaburi 50:5

Marejeo

  • +Kut 24:8

Zaburi 50:6

Marejeo

  • +Zb 75:7

Zaburi 50:7

Marejeo

  • +Ne 9:30; Zb 81:8
  • +Kut 20:2

Zaburi 50:8

Marejeo

  • +1Sa 15:22; Isa 1:11; Yer 7:22, 23; Ho. 6:6

Zaburi 50:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbuzi dume.”

Marejeo

  • +Mik 6:7

Zaburi 50:10

Marejeo

  • +1Nya 29:14; Mdo 17:24

Zaburi 50:11

Marejeo

  • +Ayu 38:41

Zaburi 50:12

Marejeo

  • +Kum 10:14; Ayu 41:11; 1Ko 10:26

Zaburi 50:13

Marejeo

  • +Mik 6:6-8

Zaburi 50:14

Marejeo

  • +Zb 69:30, 31; Met 21:3; Ho. 6:6; Ebr 13:15
  • +Kum 23:21; Zb 76:11; Mhu 5:4

Zaburi 50:15

Marejeo

  • +2Nya 33:12, 13; Zb 91:15
  • +Zb 22:21-23; 50:23

Zaburi 50:16

Marejeo

  • +Yer 7:4; Mt 7:22, 23; Ro 2:21
  • +Kum 31:20; Ebr 8:9

Zaburi 50:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mafundisho.”

  • *

    Tnn., “kuyatupa maneno yangu nyuma yako.”

Marejeo

  • +Ne 9:26; Isa 5:24

Zaburi 50:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “unaungana naye.”

Marejeo

  • +Isa 5:22, 23

Zaburi 50:19

Marejeo

  • +Yer 9:5

Zaburi 50:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Unamharibia sifa.”

Marejeo

  • +Law 19:16

Zaburi 50:21

Marejeo

  • +Zb 50:4; Mhu 12:14

Zaburi 50:22

Marejeo

  • +Zb 9:17; Yer 2:32; Ho. 4:6

Zaburi 50:23

Marejeo

  • +1Th 5:18; Ebr 13:15
  • +Mik 6:8

Jumla

Zab. 50:utangulizi1Nya 25:1
Zab. 50:1Zb 95:3
Zab. 50:2Zb 48:2; Omb 2:15
Zab. 50:3Isa 65:6
Zab. 50:3Kut 19:18; Da 7:9, 10; Ebr 12:29
Zab. 50:3Zb 97:3, 4
Zab. 50:4Kum 30:19; 32:1; Isa 1:2
Zab. 50:4Mik 6:2
Zab. 50:5Kut 24:8
Zab. 50:6Zb 75:7
Zab. 50:7Ne 9:30; Zb 81:8
Zab. 50:7Kut 20:2
Zab. 50:81Sa 15:22; Isa 1:11; Yer 7:22, 23; Ho. 6:6
Zab. 50:9Mik 6:7
Zab. 50:101Nya 29:14; Mdo 17:24
Zab. 50:11Ayu 38:41
Zab. 50:12Kum 10:14; Ayu 41:11; 1Ko 10:26
Zab. 50:13Mik 6:6-8
Zab. 50:14Zb 69:30, 31; Met 21:3; Ho. 6:6; Ebr 13:15
Zab. 50:14Kum 23:21; Zb 76:11; Mhu 5:4
Zab. 50:152Nya 33:12, 13; Zb 91:15
Zab. 50:15Zb 22:21-23; 50:23
Zab. 50:16Yer 7:4; Mt 7:22, 23; Ro 2:21
Zab. 50:16Kum 31:20; Ebr 8:9
Zab. 50:17Ne 9:26; Isa 5:24
Zab. 50:18Isa 5:22, 23
Zab. 50:19Yer 9:5
Zab. 50:20Law 19:16
Zab. 50:21Zb 50:4; Mhu 12:14
Zab. 50:22Zb 9:17; Yer 2:32; Ho. 4:6
Zab. 50:231Th 5:18; Ebr 13:15
Zab. 50:23Mik 6:8
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 50:1-23

Zaburi

Muziki wa Asafu.+

50 Mungu wa miungu, Yehova,*+ amesema;

Anaiita dunia

Kutoka mapambazuko ya jua mpaka machweo yake.*

 2 Kutoka Sayuni, ukamilifu wa uzuri,+ Mungu huangaza.

 3 Mungu wetu atakuja na hawezi kunyamaza.+

Mbele zake kuna moto unaoteketeza kabisa,+

Na dhoruba kali inamzunguka pande zote.+

 4 Anaziita mbingu zilizo juu na pia dunia,+

Ili awahukumu watu wake:+

 5 “Nikusanyieni washikamanifu wangu,

Wale wanaofanya agano pamoja nami kwa dhabihu.”+

 6 Mbingu zinatangaza uadilifu wake,

Kwa maana Mungu mwenyewe ni Mwamuzi.+ (Sela)

 7 “Sikilizeni, enyi watu wangu, nami nitaongea;

Israeli, nitatoa ushahidi dhidi yako.+

Mimi ni Mungu, Mungu wako.+

 8 Siwakaripii kwa sababu ya dhabihu zenu,

Wala kwa sababu ya dhabihu zenu nzima za kuteketezwa ambazo daima ziko mbele zangu.+

 9 Sihitaji kuchukua ng’ombe dume katika nyumba yako,

Wala mbuzi* katika mazizi yako.+

10 Kwa maana kila mnyama wa mwituni ni wangu,+

Hata wanyama walio juu ya milima elfu moja.

11 Ninamjua kila ndege wa milimani;+

Wanyama wasio na idadi wa mbugani ni wangu.

12 Ningekuwa na njaa, nisingekwambia,

Kwa maana nchi inayozaa na kila kitu kilichomo ni changu.+

13 Je, nitakula nyama ya ng’ombe dume

Na kunywa damu ya mbuzi?+

14 Toa shukrani zikiwa dhabihu yako kwa Mungu,+

Na utimize nadhiri zako kwa Aliye Juu Zaidi;+

15 Nililie wakati wa taabu.+

Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+

16 Lakini Mungu atamwambia mwovu:

“Una haki gani ya kusimulia masharti yangu+

Au kuongea kuhusu agano langu?+

17 Kwa maana unachukia nidhamu,*

Nawe unaendelea kuyageuzia mgongo maneno yangu.*+

18 Unapomwona mwizi, unapendezwa naye,*+

Nawe unashirikiana na wazinzi.

19 Unatumia kinywa chako kueneza mabaya,

Na udanganyifu umeshikamana na ulimi wako.+

20 Unaketi na kumsema vibaya ndugu yako mwenyewe;+

Unafunua makosa ya* mwana wa mama yako mwenyewe.

21 Ulipofanya mambo hayo, niliendelea kunyamaza,

Kwa hiyo ukafikiri kwamba nitakuwa kama wewe.

Lakini sasa nitakukaripia,

Nami nitatangaza kesi yangu dhidi yako.+

22 Tafadhali, zingatieni jambo hili, ninyi mnaomsahau Mungu,+

Nisije nikawararua vipandevipande asiwepo yeyote wa kuwaokoa.

23 Yule anayetoa shukrani kuwa dhabihu yake ananitukuza,+

Na yule anayefuata njia iliyowekwa,

Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki