Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 33
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ayubu—Yaliyomo

      • Elihu amkaripia Ayubu kwa sababu ya kujiona kuwa mwadilifu (1-33)

        • Fidia yapatikana (24)

        • Kurudia nguvu za ujana (25)

Ayubu 33:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ni lazima ulimi wangu na kaakaa langu vizungumze.”

Ayubu 33:3

Marejeo

  • +Mt 12:34; Lu 6:45

Ayubu 33:4

Marejeo

  • +Zb 119:73
  • +Mwa 2:7; Mhu 12:7; Mdo 17:25

Ayubu 33:6

Marejeo

  • +Mwa 2:7

Ayubu 33:9

Marejeo

  • +Ayu 10:7; 16:16, 17; 23:11
  • +Ayu 29:14

Ayubu 33:10

Marejeo

  • +Ayu 13:24; 16:9; 19:11

Ayubu 33:11

Marejeo

  • +Ayu 13:27; 14:16; 31:4

Ayubu 33:12

Marejeo

  • +Ayu 12:13; Zb 8:4; Isa 40:25; 55:9

Ayubu 33:13

Marejeo

  • +Isa 45:9; Ro 9:20
  • +Ayu 13:24

Ayubu 33:15

Marejeo

  • +Hes 12:6; Da 4:5

Ayubu 33:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuyatia muhuri.”

Marejeo

  • +Ayu 36:10

Ayubu 33:17

Marejeo

  • +Mwa 20:6, 7; Mt 27:19
  • +Da 4:24, 25

Ayubu 33:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huulinda uhai wake usiingie.”

  • *

    Au “kaburini.”

  • *

    Au “kwa silaha.”

Marejeo

  • +Mwa 31:24

Ayubu 33:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “uhai wake unachukia.”

Marejeo

  • +Zb 107:17, 18

Ayubu 33:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “inaonekana waziwazi.”

Ayubu 33:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Uhai wake unakaribia.”

  • *

    Au “kaburini.”

Ayubu 33:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “malaika.”

Ayubu 33:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kaburini.”

Marejeo

  • +Ayu 14:13
  • +Ayu 19:25; Mt 20:28

Ayubu 33:25

Marejeo

  • +2Fa 5:14
  • +Kum 34:7; Ayu 42:16; Zb 103:3-5

Ayubu 33:26

Marejeo

  • +Zb 30:8

Ayubu 33:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “atawaimbia.”

  • *

    Au labda, “Nami sikupata faida.”

Marejeo

  • +2Sa 12:13; Zb 32:5; Met 28:13; Lu 15:21; 1Yo 1:9

Ayubu 33:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ameukomboa uhai wangu usiingie.”

  • *

    Au “kaburini.”

Marejeo

  • +Zb 19:14; Isa 38:17

Ayubu 33:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kaburini.”

Marejeo

  • +Zb 56:13

Jumla

Ayu. 33:3Mt 12:34; Lu 6:45
Ayu. 33:4Zb 119:73
Ayu. 33:4Mwa 2:7; Mhu 12:7; Mdo 17:25
Ayu. 33:6Mwa 2:7
Ayu. 33:9Ayu 10:7; 16:16, 17; 23:11
Ayu. 33:9Ayu 29:14
Ayu. 33:10Ayu 13:24; 16:9; 19:11
Ayu. 33:11Ayu 13:27; 14:16; 31:4
Ayu. 33:12Ayu 12:13; Zb 8:4; Isa 40:25; 55:9
Ayu. 33:13Isa 45:9; Ro 9:20
Ayu. 33:13Ayu 13:24
Ayu. 33:15Hes 12:6; Da 4:5
Ayu. 33:16Ayu 36:10
Ayu. 33:17Mwa 20:6, 7; Mt 27:19
Ayu. 33:17Da 4:24, 25
Ayu. 33:18Mwa 31:24
Ayu. 33:20Zb 107:17, 18
Ayu. 33:24Ayu 14:13
Ayu. 33:24Ayu 19:25; Mt 20:28
Ayu. 33:252Fa 5:14
Ayu. 33:25Kum 34:7; Ayu 42:16; Zb 103:3-5
Ayu. 33:26Zb 30:8
Ayu. 33:272Sa 12:13; Zb 32:5; Met 28:13; Lu 15:21; 1Yo 1:9
Ayu. 33:28Zb 19:14; Isa 38:17
Ayu. 33:30Zb 56:13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ayubu 33:1-33

Ayubu

33 “Lakini sasa, Ayubu, tafadhali sikiliza maneno yangu;

Sikiliza kila jambo nitakalosema.

 2 Tazama, tafadhali! Ni lazima nifumbue kinywa changu;

Ni lazima ulimi wangu uzungumze.*

 3 Maneno yangu yanatangaza unyoofu wa moyo wangu,+

Na midomo yangu inasema kwa unyoofu mambo ninayojua.

 4 Roho ya Mungu mwenyewe iliniumba,+

Na pumzi ya Mweza-Yote mwenyewe ilinifanya niwe hai.+

 5 Nijibu ikiwa unaweza;

Niambie hoja zako; jitayarishe kujitetea.

 6 Tazama! Mimi ni kama wewe mbele za Mungu wa kweli;

Mimi pia niliumbwa kwa udongo.+

 7 Kwa hiyo usiniogope,

Na uzito wa maneno yangu usikulemee.

 8 Lakini nilisikia ukisema,

Naam, niliendelea kusikia maneno haya,

 9 ‘Mimi ni safi, sina dhambi;+

Mimi ni safi, sina kosa.+

10 Lakini Mungu anatafuta sababu za kunipinga;

Ananiona kuwa adui yake.+

11 Anaitia miguu yangu katika mikatale;

Anavichunguza kwa makini vijia vyangu vyote.’+

12 Lakini umekosea kusema hivyo, kwa hiyo nitakujibu:

Mungu ni mkuu sana kuliko mwanadamu anayeweza kufa.+

13 Kwa nini unamlaumu Yeye?+

Je, ni kwa sababu hakujibu hoja zako zote?+

14 Kwa maana Mungu huzungumza mara moja na mara ya pili,

Lakini hakuna yeyote anayesikiliza,

15 Huzungumza katika ndoto, maono ya usiku,+

Watu wanaposhikwa na usingizi mzito

Wanapolala vitandani mwao.

16 Kisha hufungua masikio yao+

Na kuyakazia* maagizo yake kwao,

17 Ili kumwepusha mtu asitende dhambi+

Na kumlinda mwanadamu asiwe na kiburi.+

18 Mungu huilinda nafsi yake isiingie* shimoni,*+

Uhai wake usiangamizwe kwa upanga.*

19 Mtu hukaripiwa pia na maumivu kitandani mwake

Na mateso yasiyo na kikomo mifupani mwake,

20 Hivi kwamba nafsi yake inachukia* mkate,

Naye anakataa hata chakula bora.+

21 Nyama ya mwili wake huisha hivi kwamba haionekani,

Na mifupa yake iliyokuwa imefichika sasa imechomoza.*

22 Nafsi yake inakaribia* shimoni;*

Uhai wake unawakaribia wale wanaoleta kifo.

23 Ikiwa kuna mjumbe* kwa ajili yake,

Mtetezi mmoja kati ya elfu moja,

Ili amwambie mwanadamu mambo manyoofu,

24 Basi Mungu humhurumia na kusema,

‘Mwokoe asishuke shimoni!*+

Nimepata fidia!+

25 Mwili wake na uwe na afya zaidi kuliko wakati wa ujana;+

Na azirudie siku alizokuwa na nguvu za ujana.’+

26 Atamsihi Mungu,+ naye atamkubali,

Naye atauona uso wa Mungu kwa kelele za shangwe,

Na Mungu atamrudishia uadilifu Wake mwanadamu anayeweza kufa.

27 Mtu huyo atawatangazia* wanadamu,

‘Nimetenda dhambi+ na kupotosha yaliyo sawa,

Lakini sikupokea niliyostahili.*

28 Ameikomboa nafsi yangu isiingie* shimoni,*+

Na uhai wangu utaona nuru.’

29 Kwa kweli, Mungu hufanya mambo haya yote

Mara mbili, mara tatu, kwa ajili ya mwanadamu,

30 Ili kumrudisha kutoka shimoni,*

Ili aweze kuangaziwa nuru ya uzima.+

31 Sikiliza, Ayubu! Nisikilize!

Nyamaza, nami nitaendelea kuzungumza.

32 Ikiwa una jambo la kusema, niambie.

Sema, kwa maana nataka kuthibitisha kwamba uko sahihi.

33 Ikiwa huna la kusema, unapaswa kunisikiliza;

Nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki